Alikuwa amelengwa Rais jiwe kweli kweliKwenu,
"Kiburi cha mtu kitamshusha bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa"
Haya ni maneno ya Nape Nnauye, akinukuu Biblia toka kitabu cha Mithali sura 29:23,bila shaka yalielekezwa kwa fulani!
Aache kutupigia makelele anajifanya ana busara kwakua hana uwaziri.Kwenu,
"Kiburi cha mtu kitamshusha bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa"
Haya ni maneno ya Nape Nnauye, akinukuu Biblia toka kitabu cha Mithali sura 29:23,bila shaka yalielekezwa kwa fulani!
km hujui kitu unachoongea kaa kmya. biblia siyo gazeti .Mbona Id Amin hakushuka mpaka akafurushwa?
Huyu naye ifike mahali wamtulize sasa! Kwani mbinu zilizobuma kwa Lissu zimeisha? Wazitumie tu hizo hizo huyu ni mwepesi sana!! Huwa simsahau na bao lake la mkono na kuhalalisha uzuiaji wa bunge live!!Kwenu,
"Kiburi cha mtu kitamshusha bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa"
Haya ni maneno ya Nape Nnauye, akinukuu Biblia toka kitabu cha Mithali sura 29:23,bila shaka yalielekezwa kwa fulani!
Niko pamoja na wewe kiongozi wangu! Tena sisi asitujue kabisaaaa!!Aache kutupigia makelele anajifanya ana busara kwakua hana uwaziri.
Tena huyu jamaa sitaki hata kumsikia, yeye ni muasisi wa kuhakikisha hakuna Bunge live.
Waongee wote Nape kwangu ni mpuuzi Kama wapuuzi wengine
NAPEEE UNAFAA SANA ILA HUNA SUBILA.km hujui kitu unachoongea kaa kmya. biblia siyo gazeti .
Nimemnukuu ant EzekielTusi ulilotukana mungu anakuona mkuu[emoji23]
Kufurushwa si ndio kushushwa kwenyewe, au sielewi?Mbona Id Amin hakushuka mpaka akafurushwa?
Kwenu,
"Kiburi cha mtu kitamshusha bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa"
Haya ni maneno ya Nape Nnauye, akinukuu Biblia toka kitabu cha Mithali sura 29:23,bila shaka yalielekezwa kwa fulani!
[emoji85] [emoji87]Nimemnukuu ant Ezekiel