Nape Nnauye na Hekima za mfalme Suleimani

Nape Nnauye na Hekima za mfalme Suleimani

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
10,258
Reaction score
14,104
FB_IMG_1523182955579.jpg
 
Kwenu,

"Kiburi cha mtu kitamshusha bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa"
Haya ni maneno ya Nape Nnauye, akinukuu Biblia toka kitabu cha Mithali sura 29:23,bila shaka yalielekezwa kwa fulani!
 
Kwenu,

"Kiburi cha mtu kitamshusha bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa"
Haya ni maneno ya Nape Nnauye, akinukuu Biblia toka kitabu cha Mithali sura 29:23,bila shaka yalielekezwa kwa fulani!
Nape ni fungu la kukosa..alisimama kidete kufungia bunge live..Nape amekuwa ni mpinzani kila anaponyimwa fursa, kwa wanaojua siasa nadhani mnakumbuka alivyotoswa uvccm na mzee makamba alivyoendesha upinzani mpaka wakamtimua. Uwaziri unamuuma sana, gari la bure, nyumba bure, kila k2 bure.. Nape apambana na hali yake..kwenye furaha anatufanyia nyodo..goli la mkono..leo katoswa bashite yupo juu yake anataka tuumie wote hapana. Wapo wanasiasa naweza ku sympathy nao km Lisu siyo Mnape Mnauye..
 
Back
Top Bottom