Nape Nnauye maji ya shingo Mtama

Nape Nnauye maji ya shingo Mtama

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
Ni ukweli usiopingika kuwa Nape ana hali mbaya sana Mtama na kwa siku tatu nilizokaa Mtama Nape atashindwa kwa kishindo.

Kuna watu wanajiuliza huyu kijana mbona haonekani tena kwenye jukwaa la Magufuli, jamani ukimya wa Nape sio bure Suleiman Matthew anakaba mpaka penalt Mtama huko Nape ataangushwa kama furushi la Loba la mchele.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Nape ana hali mbaya sana Mtama na kwa siku tatu nilizokaa Mtama Nape atashindwa kwa kishindo.

Kuna watu wanajiuliza huyu kijana mbona haonekani tena kwenye jukwaa la Magufuli, jamani ukimya wa Nape sio bure Suleiman Matthew anakaba mpaka penalt Mtama huko Nape ataangushwa kama furushi la Loba la mchele.


Mods uzi msiuunge popote kwani mimi siku mbili zilizopita nilikuwa mtama na nimejionea mwenyewe
Uso wake tu unadhibitisha hilo.
 

Attachments

  • 1445405494577.jpg
    1445405494577.jpg
    32.1 KB · Views: 2,938
Laana ya kutukana ya wazee inamtafuna na bado subilini baada ya uchaguzi kama hamtamwona akiokota makopo kwenye zubala.
 
Furaha yangu itakamilika pale nitakapomwona huyu Nape atakopokuwa mwehu kabisa...
Nataka aone matusi yanavyolipa.
 
Back
Top Bottom