Nape Nnauye maji ya shingo Mtama

Nape Nnauye maji ya shingo Mtama

Bora ashindwe kabisa maana amefanya siasa ya Tanzania kuwa sehemu ya kuropokea pacpo kufikiria
 
jamaa anaumwaa thus why haonekani wala kuropoka tena
 
Nape kamsalimie bibi kwani zis taimu araundi yu havu no confidasheni ini politiko mata baba
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Nape ana hali mbaya sana Mtama na kwa siku tatu nilizokaa Mtama Nape atashindwa kwa kishindo.

Kuna watu wanajiuliza huyu kijana mbona haonekani tena kwenye jukwaa la Magufuli, jamani ukimya wa Nape sio bure Suleiman Matthew anakaba mpaka penalt Mtama huko Nape ataangushwa kama furushi la Loba la mchele.
Nape Nnauye mwasisi wa goli la mkono mwaka huu anategemea goli la mkono limbebe jimboni kwake. Madai yake ni kua hawezi kuasisi kitu halafu kikamshinda yeye mwenyewe. Anadhani kwa kofia ya chama anayoibeba basi vyombo vinavyosimamia uchaguzi vitambeba
 
Last edited by a moderator:
Uzuri ana kazi yake tayari Lumumba ya kuendeleza uvuvuzela.
 
Back
Top Bottom