Nape Nnauye kanishangaza sana!!

Nape Nnauye kanishangaza sana!!

Kama ndio hivyo Nape ni Mzalendo ameona Dr. Rioba ndiye mtu anaefaa kuliendesha shirika kwa ufanisi amempendekeza so hakuna cha kuendelea kushangaa hapo
Tatizo ni pale pale, TBC is a public institution but business institution, mteule wa Nape hajawahi kuendesha biashara yoyote wala kuwa kiongozi wa shirika wala kampuni yoyote, ni sawa tu na walivyomuweka Mshana walua Tido allikua na advantage ya exposure japo upande wa biashara aliteketeza hasina yote ya TBC. Sijui nchi yetu ina shida gani, hizi ni business leadership positions na sio political positions, mbona kule NSSf wamepeka mtu sahihi? yule bwana ndio alikua head of projects za transformation ya chuo kikuu chote, ni ni mkufunzi wa oxford, sio tu academicians, tunakazi kubwa sana kwa kweli tulikua tunasubiri kwa hamu kubwa uteuzi wa TBC tukifikiri tutapatiwa mtu atakayeonekana kuwa na uwezo wa kupambana na kushindana na kushinda ushindani wa ndani na nje, very sad!
 
Bavicha bana kila siku mnatuambia Dr.Magufuli anafuata sera za Chadema leo tena mnasema mnashangaa daah!!
 
Tatizo ni pale pale, TBC is a public institution but business institution, mteule wa Nape hajawahi kuendesha biashara yoyote wala kuwa kiongozi wa shirika wala kampuni yoyote, ni sawa tu na walivyomuweka Mshana walua Tido allikua na advantage ya exposure japo upande wa biashara aliteketeza hasina yote ya TBC. Sijui nchi yetu ina shida gani, hizi ni business leadership positions na sio political positions, mbona kule NSSf wamepeka mtu sahihi? yule bwana ndio alikua head of projects za transformation ya chuo kikuu chote, ni ni mkufunzi wa oxford, sio tu academicians, tunakazi kubwa sana kwa kweli tulikua tunasubiri kwa hamu kubwa uteuzi wa TBC tukifikiri tutapatiwa mtu atakayeonekana kuwa na uwezo wa kupambana na kushindana na kushinda ushindani wa ndani na nje, very sad!
Mkuu umeandika kwa uchungu kweli.. lakini kwani huyu hawezi kuwa na mshauri wa masuala ya kiuchumi? namuamini sana Dr. Rioba tatizo la TBC ni kuwa ilishaanza kupoteza hali ya kuaminika na haikuwa na balanced stories nafikiri akianza na hili shirika likarejesha Public trust bhasi hivyo vingine ni rahisi tu
 
Kwa mtiririko niijuao wa kumpata Mkurugenzi wa Taasisi ya Uma kama TBC hakuna ubishi kuwa Nape kausika kwa asilimia mia moja kama Waziri mwenye dhamana ya Habari!
Mtakumbuka wiki tatu hivi zilizopita baada ya Magufuli kuteua Mwenyekiti wa bodi ya TBC, waziri husika (Nape) aliteua wajumbe wa bodi na ndani yake akamuweka Dr. Rioba. Nilistuka kidogo, nilipofuatilia ikaonekana hawako mbali sana huwa wanaongea!
Ghafla leo Dr. Rioba kateuliwa na Rais mkurugenzi wa TBC. Mchakato wa kuteua Mkurugenzi wa TBC huanzia kwa Waziri husika na hapa ni Nape Nnauye, mapendekezo hupelekwa kwa Rais kwa uteuzi!!! Sasa Nape huyuhyu mnazi wa CCM kampendekeza Dr. Rioba??!!! Ama kweli Nape kaanza kubadilika sana. Tutegemee maajabu mengi kutoka kwa chinga huyu!!
Huyo watamfukuza tu huwa haipendi ccmu ngoja uchaguzi ufike uone
 
Kwa mtiririko niijuao wa kumpata Mkurugenzi wa Taasisi ya Uma kama TBC hakuna ubishi kuwa Nape kausika kwa asilimia mia moja kama Waziri mwenye dhamana ya Habari!
Mtakumbuka wiki tatu hivi zilizopita baada ya Magufuli kuteua Mwenyekiti wa bodi ya TBC, waziri husika (Nape) aliteua wajumbe wa bodi na ndani yake akamuweka Dr. Rioba. Nilistuka kidogo, nilipofuatilia ikaonekana hawako mbali sana huwa wanaongea!
Ghafla leo Dr. Rioba kateuliwa na Rais mkurugenzi wa TBC. Mchakato wa kuteua Mkurugenzi wa TBC huanzia kwa Waziri husika na hapa ni Nape Nnauye, mapendekezo hupelekwa kwa Rais kwa uteuzi!!! Sasa Nape huyuhyu mnazi wa CCM kampendekeza Dr. Rioba??!!! Ama kweli Nape kaanza kubadilika sana. Tutegemee maajabu mengi kutoka kwa chinga huyu!!
Nape ni Chinga Kwa maneno tu , Hilo kabla kalitumia kuchakachua kura Kwa goli la mkono akawa Mbunge , lakini baba yake harisi ni Mwandosya hivyo Nape si Chinga Kwa mjibu wa Kipimo cha DNA chezea Mchepuko wewee....
 
Huyo watamfukuza tu huwa haipendi ccmu ngoja uchaguzi ufike uone
Ataweza kufanyiwa Kama Sefue au Yule mama wa NSSF au Kama MASWI kule TRA , awe makini sana huo ni mtego kapewa.
 
Mkuu umeandika kwa uchungu kweli.. lakini kwani huyu hawezi kuwa na mshauri wa masuala ya kiuchumi? namuamini sana Dr. Rioba tatizo la TBC ni kuwa ilishaanza kupoteza hali ya kuaminika na haikuwa na balanced stories nafikiri akianza na hili shirika likarejesha Public trust bhasi hivyo vingine ni rahisi tu
Hakuna mtu anayeweza kutune hiyo tbccm
 
Kwa mtiririko niijuao wa kumpata Mkurugenzi wa Taasisi ya Uma kama TBC hakuna ubishi kuwa Nape kausika kwa asilimia mia moja kama Waziri mwenye dhamana ya Habari!
Mtakumbuka wiki tatu hivi zilizopita baada ya Magufuli kuteua Mwenyekiti wa bodi ya TBC, waziri husika (Nape) aliteua wajumbe wa bodi na ndani yake akamuweka Dr. Rioba. Nilistuka kidogo, nilipofuatilia ikaonekana hawako mbali sana huwa wanaongea!
Ghafla leo Dr. Rioba kateuliwa na Rais mkurugenzi wa TBC. Mchakato wa kuteua Mkurugenzi wa TBC huanzia kwa Waziri husika na hapa ni Nape Nnauye, mapendekezo hupelekwa kwa Rais kwa uteuzi!!! Sasa Nape huyuhyu mnazi wa CCM kampendekeza Dr. Rioba??!!! Ama kweli Nape kaanza kubadilika sana. Tutegemee maajabu mengi kutoka kwa chinga huyu!!
kwa kifupi sisi tunaoangalia mambo kwa undani hasa sisi kina gogo la shamba,Rioba mijadala yake yote alikuwa anaonyesha kabisa kwamba,yuko ccm mwenye kubisha ajaribu kurudia mijadala yake yote mmoja baada ya mmoja kama anaweza kuipata,kwa kudhibitisha mtaona utendaji wake lazima utakuwa wa kuvibana vyama vya upinzani
 
kwa kifupi sisi tunaoangalia mambo kwa undani hasa sisi kina gogo la shamba,Rioba mijadala yake yote alikuwa anaonyesha kabisa kwamba,yuko ccm mwenye kubisha ajaribu kurudia mijadala yake yote mmoja baada ya mmoja kama anaweza kuipata,kwa kudhibitisha mtaona utendaji wake lazima utakuwa wa kuvibana vyama vya upinzani
Kama ataamua kuendeleza pale alipowachia mshana haina mgogoro kwani ndio watakuwa wanazidi kuichimbia kaburini reefu sana hiyo tbc yao
 
Tatizo ni pale pale, TBC is a public institution but business institution, mteule wa Nape hajawahi kuendesha biashara yoyote wala kuwa kiongozi wa shirika wala kampuni yoyote, ni sawa tu na walivyomuweka Mshana walua Tido allikua na advantage ya exposure japo upande wa biashara aliteketeza hasina yote ya TBC. Sijui nchi yetu ina shida gani, hizi ni business leadership positions na sio political positions, mbona kule NSSf wamepeka mtu sahihi? yule bwana ndio alikua head of projects za transformation ya chuo kikuu chote, ni ni mkufunzi wa oxford, sio tu academicians, tunakazi kubwa sana kwa kweli tulikua tunasubiri kwa hamu kubwa uteuzi wa TBC tukifikiri tutapatiwa mtu atakayeonekana kuwa na uwezo wa kupambana na kushindana na kushinda ushindani wa ndani na nje, very sad!
Uko sahihi kiongozi lakini kama akiwa makini Dr.Rioba watu wa chini yake kwenye vitengo mbalimbali apatecwatu sahihi wa kumshauri vinginevyo atachemka kama wengine waliopita
 
Nape hana indluence yoyote,Falsafa ya Magu ni kuteua Madaktari na Professors,Hata uwaziri nape na makamba magu kalazimishiwa tu,Asingewapa maana si wasomi kabisa na wana uswahili sana,Mapendekezo ya Nape ilikuwa ni waswahili flani siwataji ,Magu akatupilia mbali,Magu yuko ki nchi Nape ki chama Zaidi
 
lakujiuliza dkt ayub atafata weledi ama atafanya kazi kwa maslahi ya chama.
 
Back
Top Bottom