Nape Nnauye kanishangaza sana!!

Nape Nnauye kanishangaza sana!!

Madimbaone

Member
Joined
Feb 19, 2016
Posts
16
Reaction score
6
Kwa mtiririko niijuao wa kumpata Mkurugenzi wa Taasisi ya Uma kama TBC hakuna ubishi kuwa Nape kausika kwa asilimia mia moja kama Waziri mwenye dhamana ya Habari!

Mtakumbuka wiki tatu hivi zilizopita baada ya Magufuli kuteua Mwenyekiti wa bodi ya TBC, waziri husika (Nape) aliteua wajumbe wa bodi na ndani yake akamuweka Dr. Rioba. Nilistuka kidogo, nilipofuatilia ikaonekana hawako mbali sana huwa wanaongea!

Ghafla leo Dr. Rioba kateuliwa na Rais mkurugenzi wa TBC. Mchakato wa kuteua Mkurugenzi wa TBC huanzia kwa Waziri husika na hapa ni Nape Nnauye, mapendekezo hupelekwa kwa Rais kwa uteuzi!

Sasa Nape huyuhyu mnazi wa CCM kampendekeza Dr. Rioba??!!! Ama kweli Nape kaanza kubadilika sana. Tutegemee maajabu mengi kutoka kwa chinga huyu!!
 
Kwa mtiririko niijuao wa kumpata Mkurugenzi wa Taasisi ya Uma kama TBC hakuna ubishi kuwa Nape kausika kwa asilimia mia moja kama Waziri mwenye dhamana ya Habari!
Mtakumbuka wiki tatu hivi zilizopita baada ya Magufuli kuteua Mwenyekiti wa bodi ya TBC, waziri husika (Nape) aliteua wajumbe wa bodi na ndani yake akamuweka Dr. Rioba. Nilistuka kidogo, nilipofuatilia ikaonekana hawako mbali sana huwa wanaongea!
Ghafla leo Dr. Rioba kateuliwa na Rais mkurugenzi wa TBC. Mchakato wa kuteua Mkurugenzi wa TBC huanzia kwa Waziri husika na hapa ni Nape Nnauye, mapendekezo hupelekwa kwa Rais kwa uteuzi!!! Sasa Nape huyuhyu mnazi wa CCM kampendekeza Dr. Rioba??!!! Ama kweli Nape kaanza kubadilika sana. Tutegemee maajabu mengi kutoka kwa chinga huyu!!
Mkuu huyo ni chinga au mtoto wa mbeya kwa mzee wa mvi?
 
Kwa mtiririko niijuao wa kumpata Mkurugenzi wa Taasisi ya Uma kama TBC hakuna ubishi kuwa Nape kausika kwa asilimia mia moja kama Waziri mwenye dhamana ya Habari!
Mtakumbuka wiki tatu hivi zilizopita baada ya Magufuli kuteua Mwenyekiti wa bodi ya TBC, waziri husika (Nape) aliteua wajumbe wa bodi na ndani yake akamuweka Dr. Rioba. Nilistuka kidogo, nilipofuatilia ikaonekana hawako mbali sana huwa wanaongea!
Ghafla leo Dr. Rioba kateuliwa na Rais mkurugenzi wa TBC. Mchakato wa kuteua Mkurugenzi wa TBC huanzia kwa Waziri husika na hapa ni Nape Nnauye, mapendekezo hupelekwa kwa Rais kwa uteuzi!!! Sasa Nape huyuhyu mnazi wa CCM kampendekeza Dr. Rioba??!!! Ama kweli Nape kaanza kubadilika sana. Tutegemee maajabu mengi kutoka kwa chinga huyu!!
Kwa siasa za kibongo hiyo kitu unayo dhani inaweza iwe haina existence..tena kusiwe na correlation yoyote ya huyo waziri kushauri huyo dr ateuliwe ili kuleta tija rather to win public attention and trust.

Najua wajua kuwa awamu zote kumekua na uteuzi wa watu ambao tunasema ni "majembe" ila baadhi yao huwa na mwisho mbaya..either wasipewe ushirikiano au wapunguzwe kasi na viwango vya utendaji...ndio kusema politicians are so tricky wanaweza teua mtu jembe ili tuongeze imani ila mwisho wa hilo jembe unaujua...lakini pia aliyeshauri ateuliwe aendelee kuwa na tabia zake za "ujima".

Well yote kwa yote ni mwanzo mzuri.Tuamini ameteuliwa kwa nia njema na mwisho utakua mzuri (assuming)..namwombea asipatwe na figisu kama za mzee wetu wa "bbc)..
Pia ukumbuke kuna watu hawabadilikagi tabia na mazoea yao hata uwape malaika wakae naye[emoji22]
 
wazee wa zamani walikuwa na uwezo mkubwa wa kuona ya mbele. walimjuwa mtu atakayekufa siku chache zijazo kutokana na aina ya maneno anayoyasema (mazungumzo yake) hata kama mtu huyo angeonekana mwenye siha njema. ungesikia, "maneno yake!, mmmmmmmmmhhhhhh!! ngoja tuone".
Nilishaanza kumfananisha Dk R. Nilifikia kujisemea, "Wachina sasa wamezidi, hata watu wanatoa toleo la pili!?".
 
Ukiona dogo anachemka. mzee unaweza kusawazisha kwa kuweka jembe ili kuweka chekecheo. bila kujali mapendekezo
 
Mtazamo wa Dr Rioba juu ya Uhuru wa vyombo vya habari vya umma ni sawa na ule wa Tido mhando, ngoja tuone je atasimamia anachokiamini au atafanya kile ambacho kinampendeza mwajiri?
 
Kama ndio hivyo Nape ni Mzalendo ameona Dr. Rioba ndiye mtu anaefaa kuliendesha shirika kwa ufanisi amempendekeza so hakuna cha kuendelea kushangaa hapo
 
Ukumshangaa Mbowe alivyobadili gia angani na kumchagua Lowassa kugombea urais wa Chadema.
 
Back
Top Bottom