Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,551
Wiki kadhaa zilizopita nilikuwa na mizunguko huko mikoa ya kanda ya ziwa, baada ya kudodosa mawili matatu toka kwa wahenga wa huko nikabaini hawa watu kuna jambo wanalo moyoni kuhusiana na mtoto wao.
Kwakifupi sijui ni kwanini ila wengi wanawahusisha sana hao waheshimiwa hapo juu na kisa cha mtoto wao. Sijui ni kwanini hisia zinawapeleka huko ila kwa kifupi hili jambo litachukua muda sana kuondoka akilini mwao.
Mwananzengo 1 akasema akiona 1 kati ya watajwa basi anamkumbuka mwanaye. CCM angalieni hili, ikiwa mnadhani halina uzito liacheni, ila binafsi naona 2025...
Kwakifupi sijui ni kwanini ila wengi wanawahusisha sana hao waheshimiwa hapo juu na kisa cha mtoto wao. Sijui ni kwanini hisia zinawapeleka huko ila kwa kifupi hili jambo litachukua muda sana kuondoka akilini mwao.
Mwananzengo 1 akasema akiona 1 kati ya watajwa basi anamkumbuka mwanaye. CCM angalieni hili, ikiwa mnadhani halina uzito liacheni, ila binafsi naona 2025...