Alishasema juma maharagwe kuwa ni yeye ndie alizuia bunge liveCongrats Nape Moses Nnauye.....Wewe ni mtu makini
Haijalishi uko CCM...Lakini ni mtu makini..kosa lako ni kukubali kutudanganya kuhusu bunge live
Aagh vyovyote tu...ila kipindi kile sitaki hata kukumbuka! Hawa kijani sio wa kuwaamini sanaBunge live tayari jamaa ashamjibia kua yeye alitumwa tuu ila amri ilitoka juu
Kwa sasa namkubali huyu Mheshimiwa sana. Najua akina Liz hawapendi, lakini ukweli uko wazi, Mh Nape katutendea haki vijana wenzake, uthubutu wa kusimamia ukweli kwa kufuata misingi na taratibu tulizojiwekea kama Taifa. Big up Mh Nape.![]()
Nimeheshimu sana msimamo wa Nape Nnauye, kijana mdogo(kwangu) ambaye amesimamia si tu kauli yake bali hata kwa vitendo kuonyesha udhaifu uliotokea katika eneo lake na kuchukua hatua stahiki kulielezea, kuchunguza na hatimaye kama aivyosema , kukabidhi kwenye mamlaka husika.
Mtu kuwa mkweli, ni mpenzi wa Mungu.
Unafiki, woga wa kutumbuliwa hausaidii sana mbele ya ukweli.
Nape ameonyesha jinsi ambavyo amekuwa consistent katika suala zima linalo mkabili Makonda.
Kama tungekuwa na viongozi kama Nape, kutokubali kuwa waoga hata pale wanaofanya madudu katika maeneo yao ya utawala ni wakubwa, tungekuwa mbali kiuwajibikaji.
Vyeti feki vina eneo lake, wenye eneo hilo wako kimya kama maji ya mtungi, wanajitukanisha kwa kweli.
Hata leo, Nape aidha akiondolewa au kujiuzulu, mfano chanya utakuwa umewekwa katika uongozi wa Taifa.
Watu kama hawa huja kwa nadra.
Big up Nape Nnauye, mwana wa Moses.
Akili ya Bashite na watetezi wake hiyo; COKE ZERO! BASHITE STANDARD!Ukiona chadema wanakusifia lazima utakuwa umekosea sehemu-J.P.Magufuli
![]()
Nimeheshimu sana msimamo wa Nape Nnauye, kijana mdogo(kwangu) ambaye amesimamia si tu kauli yake bali hata kwa vitendo kuonyesha udhaifu uliotokea katika eneo lake na kuchukua hatua stahiki kulielezea, kuchunguza na hatimaye kama aivyosema , kukabidhi kwenye mamlaka husika.
Mtu kuwa mkweli, ni mpenzi wa Mungu.
Unafiki, woga wa kutumbuliwa hausaidii sana mbele ya ukweli.
Nape ameonyesha jinsi ambavyo amekuwa consistent katika suala zima linalo mkabili Makonda.
Kama tungekuwa na viongozi kama Nape, kutokubali kuwa waoga hata pale wanaofanya madudu katika maeneo yao ya utawala ni wakubwa, tungekuwa mbali kiuwajibikaji.
Vyeti feki vina eneo lake, wenye eneo hilo wako kimya kama maji ya mtungi, wanajitukanisha kwa kweli.
Hata leo, Nape aidha akiondolewa au kujiuzulu, mfano chanya utakuwa umewekwa katika uongozi wa Taifa.
Watu kama hawa huja kwa nadra.
Big up Nape Nnauye, mwana wa Moses.
Kwa sasa namkubali huyu Mheshimiwa sana. Najua akina Liz hawapendi, lakini ukweli uko wazi, Mh Nape katutendea haki vijana wenzake, uthubutu wa kusimamia ukweli kwa kufuata misingi na taratibu tulizojiwekea kama Taifa. Big up Mh Nape.![]()
Nimeheshimu sana msimamo wa Nape Nnauye, kijana mdogo(kwangu) ambaye amesimamia si tu kauli yake bali hata kwa vitendo kuonyesha udhaifu uliotokea katika eneo lake na kuchukua hatua stahiki kulielezea, kuchunguza na hatimaye kama aivyosema , kukabidhi kwenye mamlaka husika.
Mtu kuwa mkweli, ni mpenzi wa Mungu.
Unafiki, woga wa kutumbuliwa hausaidii sana mbele ya ukweli.
Nape ameonyesha jinsi ambavyo amekuwa consistent katika suala zima linalo mkabili Makonda.
Kama tungekuwa na viongozi kama Nape, kutokubali kuwa waoga hata pale wanaofanya madudu katika maeneo yao ya utawala ni wakubwa, tungekuwa mbali kiuwajibikaji.
Vyeti feki vina eneo lake, wenye eneo hilo wako kimya kama maji ya mtungi, wanajitukanisha kwa kweli.
Hata leo, Nape aidha akiondolewa au kujiuzulu, mfano chanya utakuwa umewekwa katika uongozi wa Taifa.
Watu kama hawa huja kwa nadra.
Big up Nape Nnauye, mwana wa Moses.
Usiwe na akili za kuku, kula pale alipomwaga kinyesi.Hahaha!! Hawa ndio watz na hii ndio Tanzania.
Unafiki, uzandiki, uzabizabina, kujipendekeza na kujikwenza ndio sifa zetu.
Aliyewahi itwa Vuvuzela na Mzee wa Bao la Mkono leo kama kawaida yetu namna tulivyojizoesha, anapambwa kwa maneno mengi na kwenda mbali zaidi eti hata kama atakuwa amejiuzulu leo watz watakukumba kwa kusimamia ukweli.
Leo hii ndio anasimamia ukweli!!! kwa sabababu tu anachofanya leo kina mlengo wao.
Hakika hata Shetani anatuogopa kwa namna tulivyo wa ajabu. Kama mulimuita mzee wa Bao la mkono basi hili ni Bao la pili la Nguvu la Mkono .
Heri huishi na mchawi kuliko mnafiki. Unafiki wetu utaangamiza taifa letu.
Yeye ni waziri katimiza wajibu wake
Usiwe na akili za kuku.
Kula pale alipomwaga kinyesi.
Sasa huyo mheshimiwa akija na kumwaga kinyesi sebuleni kwako utendelea kumsifia tu, kwa vile ni wa kwako!
Kua kiakili!
Alivokuwa kuwa msemaji wa chama kile nlimuona mlopokaji lakini kwanzia leo ninaanza kumuelewa kwambaaali...![]()
Nimeheshimu sana msimamo wa Nape Nnauye, kijana mdogo(kwangu) ambaye amesimamia si tu kauli yake bali hata kwa vitendo kuonyesha udhaifu uliotokea katika eneo lake na kuchukua hatua stahiki kulielezea, kuchunguza na hatimaye kama aivyosema , kukabidhi kwenye mamlaka husika.
Mtu kuwa mkweli, ni mpenzi wa Mungu.
Unafiki, woga wa kutumbuliwa hausaidii sana mbele ya ukweli.
Nape ameonyesha jinsi ambavyo amekuwa consistent katika suala zima linalo mkabili Makonda.
Kama tungekuwa na viongozi kama Nape, kutokubali kuwa waoga hata pale wanaofanya madudu katika maeneo yao ya utawala ni wakubwa, tungekuwa mbali kiuwajibikaji.
Vyeti feki vina eneo lake, wenye eneo hilo wako kimya kama maji ya mtungi, wanajitukanisha kwa kweli.
Hata leo, Nape aidha akiondolewa au kujiuzulu, mfano chanya utakuwa umewekwa katika uongozi wa Taifa.
Watu kama hawa huja kwa nadra.
Big up Nape Nnauye, mwana wa Moses.