Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,948
- 13,378
Kikwete mjanja sanaJk alikuwa Kocha Mzuri sana kiasi cha kujua Wachezaji gani wa kusajili
Nalog off
Kikwete mjanja sanaJk alikuwa Kocha Mzuri sana kiasi cha kujua Wachezaji gani wa kusajili
Kikwete mjanja sana
Nalog off
Kitendo cha kuwa na confidence ya kuendelea na kamati ya uchunguzi wakati rais kapotezea ni kitu mawaziri wengi wasingethubutu.He has an axe to grind na Bashite!!!
Kitendo cha kuwa na confidence ya kuendelea na kamati ya uchunguzi wakati rais kapotezea ni kitu mawaziri wengi wasingethubutu
Kabisaa na wananchi watamuona shujaa siku zote! Kuliko angepindishapindisha mambo
Hata mimi kipindi cha bunge live nilikua simpendiiiNi kweli kabisa japo nilikua namchukia sana jinsi alivyokua anamtukana dr Slaa ila sasa namuelewa
Hata mimi kipindi cha bunge live nilikua simpendiii
Ndio maana Bashite yuko CHADEMANape ni kada CCM pure, waliolelewa ndani ya chama.
Miaka ya Mwalimu kulikuwa na sera ya TUJISAHIHISHE, miaka ya 70's, na ndo sera za kujitambua unapokosa.
Ndani ya CHADEMA huwezi kupata tujisahihishe.