Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
akiongea katika kipindi cha asubuhi itv mbunge wa uzini na kada mashuhuri wa ccm mohamed raza ameongea mustakabali wa ccm na taifa kwa jumla lakini katika maongezi yake katuachia kitendawili ambacho kikiteguliwa kinaweza kuwa muharobaini wa ccm.
Namnukuu;mkuu wa nchi na mwenyekiti wa chama unamteua mtu ambaye alipogombea ubunge hata kura kumi alipotoka hakupata na kwenye halmashauri kuu kutoka kwao hakuchaguliwa leo anapewa cheo kikubwa kwenye chama ili aunganishe chama?let us be serius.
Ufisadi;watu wameiba pesa za uma kagoda inafahamika na hizo pesa zipo kwenye mtandao wa mabenk hazikuibiwa kwa vikapu na bado watu wanatembea mitaani.hapo alikuwa anachangia swali aliloulizwa kuhusu kauli yako ya kesi kuchukua muda mfupi.
Naomba uje hapa ututegulie kitendawili.
Namnukuu;mkuu wa nchi na mwenyekiti wa chama unamteua mtu ambaye alipogombea ubunge hata kura kumi alipotoka hakupata na kwenye halmashauri kuu kutoka kwao hakuchaguliwa leo anapewa cheo kikubwa kwenye chama ili aunganishe chama?let us be serius.
Ufisadi;watu wameiba pesa za uma kagoda inafahamika na hizo pesa zipo kwenye mtandao wa mabenk hazikuibiwa kwa vikapu na bado watu wanatembea mitaani.hapo alikuwa anachangia swali aliloulizwa kuhusu kauli yako ya kesi kuchukua muda mfupi.
Naomba uje hapa ututegulie kitendawili.