BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
#SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUTOKA CCM.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa masikitiko na huzuni kubwa taarifa ya kifo cha Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam na kada mashuhuri wa muda mrefu Komredi Agathon Simba Ulanga.

Sophia Edward Mjema, Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi.
 

Attachments

  • -743526267.jpg
    -743526267.jpg
    56.4 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1678477491631.jpg
    FB_IMG_1678477491631.jpg
    127.5 KB · Views: 5

Similar Discussions

Back
Top Bottom