Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
Mimi nina amin mtu anayekaa na kumkashfu au kumtukana bwana Nape Nnauye ni hana akili timamu..
Kwa sababu kat ya watu kumi wacompenda nape kwa sababu ni wawili tu na hakuna mwenye sababu za mcng hakuna hata mmoja,cjui ni wanafuata mkumbo au ni NAPE DISEASE ambao wanaugua na unaambukizwa kwa wale ma SHALLOWEST THINKER...kwako mtu mzima Nape endeleza harakat zako kwa kupinga ufisad achana nao hao wapuuz wanaoku2kana humu jf na fb..kaza buti mzaz i believe u'l become our PRESIDENT in ze later yearz
Kwa sababu kat ya watu kumi wacompenda nape kwa sababu ni wawili tu na hakuna mwenye sababu za mcng hakuna hata mmoja,cjui ni wanafuata mkumbo au ni NAPE DISEASE ambao wanaugua na unaambukizwa kwa wale ma SHALLOWEST THINKER...kwako mtu mzima Nape endeleza harakat zako kwa kupinga ufisad achana nao hao wapuuz wanaoku2kana humu jf na fb..kaza buti mzaz i believe u'l become our PRESIDENT in ze later yearz