Rais Magufuli ni mti wenye matunda, utapigwa mawe na wengi

Zee la kitaa

JF-Expert Member
Oct 25, 2017
403
211
Katika historia ya utawala wa taifa hili; kumejitokeza watu wa aina mbalimbali wanaopinga mambo mbalimbali ya utawala na uongozi katika awamu mbalimbali. Hata kipindi cha mfumo wa chama kimoja kuna kundi la watu wengi waliokuwa wakimpinga Hayati Baba wa taifa, akiwemo hayati Kambona. Kupinga utekelezaji wa serikali ni jambo la kawaida lakini je unatumika katika njia sahihi.

Katika kipindi cha rais John Pombe Magufuli; amefanya mageuzi makubwa ya mfumo wa kisiasa uliozoeleka na jamii ya wanasiasa wengi; na amefanyia kazi kero nyingi ambazo wapinzani walikuwa wanalenga kutekelezeka wakipewa ridhaa ya kuongoza. Wengine wanapinga kwa kukosa ajenda na kuona demokrasia ndio kichaka, bila kutambua hakuna demokrasia isiyo na mipaka. Watanzania wanashindwa kuelewa Mheshimiwa Magufuli ni mti wenye matunda ambao kila mmoja anatamani arushe jiwe ili kupata matunda yaliyopo. Watu wanachokonoa kila aina ya hoja ili mradi waone rais atajibuje. Bahati mzuri tumepata rais anayewatumbua watu wake na shida zake na yeye kujikita huko. Si ishu kuona watu wengi wanajitokeza kupinga harakati za magufuli. Kwa kuwa wengine wanapinga kufuata upepo; wengine wanapinga kwa sababu ya vyama vyao na misimamo ya vyama vyao; wengine wanapinga kwa kuona maslahi yao yameminywa na wengine wanapinga kwa nia njema ila wanashindwa kutambua njia sahihi ya kuwakilisha hoja zao.

Mheshimiwa Magufuli endelea kupiga kazi; kelele zisikusumbue piga kazi; sisi watanzania hatutaki porojo; tumeziona porojo katika miaka mingi ya taifa hili. Ulikubali kuongoza taifa hili endelea na mipango uliyokujiwekea na malengo katika miaka ya awali ya uongozi wako. Watanzania wengi tunakuunga mkono kwa jitihada unazozichukua, ni za kuleta mwelekeo mwema. Tambua kitu kimoja; mti wenye matunda ndio unapigwa mawe. Kama ungekuwa hauna matunda; hakuna mtu hata mmoja angethubutu kutupa jiwe.
 
Katika historia ya utawala wa taifa hili; kumejitokeza watu wa aina mbalimbali wanaopinga mambo mbalimbali ya utawala na uongozi katika awamu mbalimbali. Hata kipindi cha mfumo wa chama kimoja kuna kundi la watu wengi waliokuwa wakimpinga Hayati Baba wa taifa, akiwemo hayati Kambona. Kupinga utekelezaji wa serikali ni jambo la kawaida lakini je unatumika katika njia sahihi.

Katika kipindi cha rais John Pombe Magufuli; amefanya mageuzi makubwa ya mfumo wa kisiasa uliozoeleka na jamii ya wanasiasa wengi; na amefanyia kazi kero nyingi ambazo wapinzani walikuwa wanalenga kutekelezeka wakipewa ridhaa ya kuongoza. Wengine wanapinga kwa kukosa ajenda na kuona demokrasia ndio kichaka, bila kutambua hakuna demokrasia isiyo na mipaka. Watanzania wanashindwa kuelewa Mheshimiwa Magufuli ni mti wenye matunda ambao kila mmoja anatamani arushe jiwe ili kupata matunda yaliyopo. Watu wanachokonoa kila aina ya hoja ili mradi waone rais atajibuje. Bahati mzuri tumepata rais anayewatumbua watu wake na shida zake na yeye kujikita huko. Si ishu kuona watu wengi wanajitokeza kupinga harakati za magufuli. Kwa kuwa wengine wanapinga kufuata upepo; wengine wanapinga kwa sababu ya vyama vyao na misimamo ya vyama vyao; wengine wanapinga kwa kuona maslahi yao yameminywa na wengine wanapinga kwa nia njema ila wanashindwa kutambua njia sahihi ya kuwakilisha hoja zao.

Mheshimiwa Magufuli endelea kupiga kazi; kelele zisikusumbue piga kazi; sisi watanzania hatutaki porojo; tumeziona porojo katika miaka mingi ya taifa hili. Ulikubali kuongoza taifa hili endelea na mipango uliyokujiwekea na malengo katika miaka ya awali ya uongozi wako. Watanzania wengi tunakuunga mkono kwa jitihada unazozichukua, ni za kuleta mwelekeo mwema. Tambua kitu kimoja; mti wenye matunda ndio unapigwa mawe. Kama ungekuwa hauna matunda; hakuna mtu hata mmoja angethubutu kutupa jiwe.
Sura mbovu vile nani ampige mawe
 
sawa........kijana endelea kuumwagili maji mti wake ili uendelee kula hayo matunda anayotupatia hata ambao hatukumuomba atupatie
 
Kuwepo kwa watu wasiojulikana na kushamiri vitendo vya watu kuuawa na kupotezwa ni matunda mabaya ya utawala huu.
Watu wamekuwa wakiuwawa sio utawala huu tu. Ila inawezekana ikawa ule mpango wa taifa hili halitatawalika. Mmeshindwa Magufuli piga kazi one day watakuona shujaa katika taifa hili. Watakupigia makofi sana bungeni ukistafu na kualikwa katika bunge. Wengine watakuambia wewe ndiye ulikuwa mkombozi wa kweli.
 
Katika historia ya utawala wa taifa hili; kumejitokeza watu wa aina mbalimbali wanaopinga mambo mbalimbali ya utawala na uongozi katika awamu mbalimbali. Hata kipindi cha mfumo wa chama kimoja kuna kundi la watu wengi waliokuwa wakimpinga Hayati Baba wa taifa, akiwemo hayati Kambona. Kupinga utekelezaji wa serikali ni jambo la kawaida lakini je unatumika katika njia sahihi.

Katika kipindi cha rais John Pombe Magufuli; amefanya mageuzi makubwa ya mfumo wa kisiasa uliozoeleka na jamii ya wanasiasa wengi; na amefanyia kazi kero nyingi ambazo wapinzani walikuwa wanalenga kutekelezeka wakipewa ridhaa ya kuongoza. Wengine wanapinga kwa kukosa ajenda na kuona demokrasia ndio kichaka, bila kutambua hakuna demokrasia isiyo na mipaka. Watanzania wanashindwa kuelewa Mheshimiwa Magufuli ni mti wenye matunda ambao kila mmoja anatamani arushe jiwe ili kupata matunda yaliyopo. Watu wanachokonoa kila aina ya hoja ili mradi waone rais atajibuje. Bahati mzuri tumepata rais anayewatumbua watu wake na shida zake na yeye kujikita huko. Si ishu kuona watu wengi wanajitokeza kupinga harakati za magufuli. Kwa kuwa wengine wanapinga kufuata upepo; wengine wanapinga kwa sababu ya vyama vyao na misimamo ya vyama vyao; wengine wanapinga kwa kuona maslahi yao yameminywa na wengine wanapinga kwa nia njema ila wanashindwa kutambua njia sahihi ya kuwakilisha hoja zao.

Mheshimiwa Magufuli endelea kupiga kazi; kelele zisikusumbue piga kazi; sisi watanzania hatutaki porojo; tumeziona porojo katika miaka mingi ya taifa hili. Ulikubali kuongoza taifa hili endelea na mipango uliyokujiwekea na malengo katika miaka ya awali ya uongozi wako. Watanzania wengi tunakuunga mkono kwa jitihada unazozichukua, ni za kuleta mwelekeo mwema. Tambua kitu kimoja; mti wenye matunda ndio unapigwa mawe. Kama ungekuwa hauna matunda; hakuna mtu hata mmoja angethubutu kutupa jiwe.
Well said....yeye apige kazi kwa kadili ya sera inavyohitaji......... hizi kelele zisizo na maana aachane nazo........maana hata ukisiliza unaona hakuna hoja ya maaana yenye mantiki
 
Makosa yapo kwa category kadhaa ikiwemo
1. Kwa kuwaza
2. Kwa kunena
3. Kwa kutenda.

Sisi hatumtubii, ATUBU MWENYEWE!
Unataka akatubu kwako; yeye akifanya kosa anatubu kwa Mungu aliyemuumba na si kwa manadamu anayesema yeye ndiye anajua uovu; ila biblia inayomuambia atii mamlaka haoni kutotii inabidi akatubu.
 
Katika historia ya utawala wa taifa hili; kumejitokeza watu wa aina mbalimbali wanaopinga mambo mbalimbali ya utawala na uongozi katika awamu mbalimbali. Hata kipindi cha mfumo wa chama kimoja kuna kundi la watu wengi waliokuwa wakimpinga Hayati Baba wa taifa, akiwemo hayati Kambona. Kupinga utekelezaji wa serikali ni jambo la kawaida lakini je unatumika katika njia sahihi.

Katika kipindi cha rais John Pombe Magufuli; amefanya mageuzi makubwa ya mfumo wa kisiasa uliozoeleka na jamii ya wanasiasa wengi; na amefanyia kazi kero nyingi ambazo wapinzani walikuwa wanalenga kutekelezeka wakipewa ridhaa ya kuongoza. Wengine wanapinga kwa kukosa ajenda na kuona demokrasia ndio kichaka, bila kutambua hakuna demokrasia isiyo na mipaka. Watanzania wanashindwa kuelewa Mheshimiwa Magufuli ni mti wenye matunda ambao kila mmoja anatamani arushe jiwe ili kupata matunda yaliyopo. Watu wanachokonoa kila aina ya hoja ili mradi waone rais atajibuje. Bahati mzuri tumepata rais anayewatumbua watu wake na shida zake na yeye kujikita huko. Si ishu kuona watu wengi wanajitokeza kupinga harakati za magufuli. Kwa kuwa wengine wanapinga kufuata upepo; wengine wanapinga kwa sababu ya vyama vyao na misimamo ya vyama vyao; wengine wanapinga kwa kuona maslahi yao yameminywa na wengine wanapinga kwa nia njema ila wanashindwa kutambua njia sahihi ya kuwakilisha hoja zao.

Mheshimiwa Magufuli endelea kupiga kazi; kelele zisikusumbue piga kazi; sisi watanzania hatutaki porojo; tumeziona porojo katika miaka mingi ya taifa hili. Ulikubali kuongoza taifa hili endelea na mipango uliyokujiwekea na malengo katika miaka ya awali ya uongozi wako. Watanzania wengi tunakuunga mkono kwa jitihada unazozichukua, ni za kuleta mwelekeo mwema. Tambua kitu kimoja; mti wenye matunda ndio unapigwa mawe. Kama ungekuwa hauna matunda; hakuna mtu hata mmoja angethubutu kutupa jiwe.
granted. what are the bullets for then?
 
Watu wamekuwa wakiuwawa sio utawala huu tu. Ila inawezekana ikawa ule mpango wa taifa hili halitatawalika. Mmeshindwa Magufuli piga kazi one day watakuona shujaa katika taifa hili. Watakupigia makofi sana bungeni ukistafu na kualikwa katika bunge. Wengine watakuambia wewe ndiye ulikuwa mkombozi wa kweli.
Anakomboa vitu anapeleka chato.
ATUBU!
 
Back
Top Bottom