When Tanzania said NO to the West & Kenya - CCM,vipi UJAMAA? Ni matunda ya mwisho ya Ujamaa?

Youandme

JF-Expert Member
May 6, 2013
200
113
Habari Zenu,

Ndugu Watanzania, leo nataka tuongelee UJAMAA, hasa hasa vipi ilisaidia Tz kuwa PIONEER(kinara) kuhusu mambo ya nje na hile sera ya : NON-INTERFERENCE POLICY. Tukumbuke kama TZ, wakati ya UJAMAA, ilikuwa inapinga nchi zingine(West) kuingilia mambo ya ndani za nchi maskani. Wanasiasa wetu wakajaliwa kuendelea na hiyo sera. Hivyo hivyo, hao wanasiasa walikuwa wanasoma/wanafuata itikadi za kicommunist: URSS,China,...
Na, katika sera kubwa za Kicommunist-socialism-ujamaa, Non-interference policy ni nguzo moja yao.

Swali 1 : Je, Watanzania wanajua kama USA iliwahi tuomba Tz ipeleke majeshi yake kule Somalia ? Hata Kenya iliomba Tz ipeleke majeshi yake.

Natumaini kwamba baadhi ya Watanzania wanajua hiyo ombi.
Jibu ni YES: USA (na Kenya) iliomba TZ ipeleke majeshi yake kule Somalia.

Na, nawapa ushahidi (for more evidence, see links below) :
a) US & Kenya request :
Ambassador Retzer raised the topic of peacekeeping with President Kikwete, noting that an ACOTA team had recently visited Tanzania and that a strategic conference had been planned for October 2006. President Kikwete assured the Ambassador that the GOT was prepared to give peacekeeping due regard and said, "We need to play our part. Psychologically, we are positively disposed to participation." The Ambassador explained that Tanzania could have a fully trained battalion by mid-2007 but that the USG could equip the battalion only after the GOT decided where the battalion would be deployed. "It would be helpful for the strategy meeting in October if you could provide an indication of a potential location for deployment," the Ambassador added.

In addition, Kenya had sent a ministerial-level envoy to Tanzania just prior to President Kikwete's January 14 departure for an official visit to London with a direct appeal for Tanzania to contribute troops to an African Union-led Peace Support Operation (PSO) in Somalia

b) Tz answer:
President Kikwete replied in a joking manner that if he had to choose between a deployment in Darfur or Lebanon, he would surely choose Lebanon. He added, "for sure we will not choose Somalia," agreeing with Ambassador
Tanzania wants to be certain that the 1,000 officers they will train are not only from one or two clans in Somalia and thus strengthen the power of certain warlords

Swali 2 : Kwanini tulikataa ?
Mimi nafikiri tulikataa, siyo kwamba Somalia ilikuwa ni hatari sana(Yes it was), lakini kwa sababu tulijaliwa kuwa na watu wenye itikadi ya UJAMAA( non-interference), tukaweza kusema NO. Hatutaki.

HOFU LANGU: Je,haya ndio matunda ya mwisho ya UJAMAA? Yaani:
- Tanzania inayo tena wanasiasa wenye sera ya non-interference ?
- CCM inayo tena wanasiasa wenye sera ya non-interference, sera ya UJAMAA ?
- Tanzania itaweza kukataa ombi ya nchi nyingine when it's come to send troops in other country?
- Je, siyo mwanzo ya kuwa kibaraka ?

Why:

Tukitizama the "new generation of politician" : Makamba Jr.( US studies), Bernard Membe( US studies),... sizani kama tutaendelea na hiyo sera. Wanasiasa wetu wanaanza/wako more pro-western then before(I don't say they have to be no pro-western but we have to continue with our policy ). Tunaanza kuwa kama Kenya: Will we win ?

--> Naomba utowe mawazo yako kuhusu hiyo "new generation of politician": sera zao, unafikiri tunaelekea kuwa pro-western pakaa kuwa kibaraka ? Unafikiri bado tunayo wanasiasa wenye sera ya Ujamaa ?

Natoa pole kwa wale wote waliopoteza mtu kule Westgate-Kenya, Mungu awarehemu na awasaidie Amin.
Namshukuru rais wangu, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuchukuwa uamuzi mzuri ya kukataa kupeleka majeshi yetu kule Somalia.

CC: Nape Nnauye


Shukrani
Mungu Ibariki Tanzania.

Links:
Cable: 07DARESSALAAM260_a
Cable: 07DARESSALAAM819_a
Cable: 07DARESSALAAM1119_a
Cable: 07DARESSALAAM93_a
 
Mkuu, tushukuru tu maamuzi ya busara yalichukuliwa lakini vita huwa haiepukiki sometimes
 
Naona ajabu kuona maoni kama haya wakati tumepeleka majeshi yetu Congo juzi tu. Unaona kama Tanzania tuna bahati kutopeleka majeshi Somalia na kwamba Kenya wamejitakia haya yaliyowapata. Kwa ninavyojua mimi Kenya waliamua kupeleka majeshi Somalia kwa sababu ya choko choko za Al Shaabab na vile vile madhara ya vita ya Somalia yalikuwa yanawapata Wakenya moja kwa moja; kusababisha wakimbizi wengi wa Kisomali kujazana Kenya, matendo ya kijambazi na kuhatarisha amani ya Kenya kwa ujumla. Kwa maoni yangu Kenya walilazimika kupambana na Al Shaabab.

Kinachotakiwa kwa Serikali ya Tanzania ni kujiandaa kukabiliana na matukio ya kigaidi kama hili lililotokea Kenya. Kama unakumbuka magaidi walishambulia Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam kwa kisingizio kwamba wanapambana na udhalimu wa Marekani, sasa jiulize Wamarekani wangapi walikufa na Watanzania wangapi walikufa? Unadhani aliyeumia ni nani kati ya Tanzania na Marekani? Je, hakuna investment za Wakenya hapo kwetu? Vipi kama hao Al Shaabab wakiwafuata Wakenya walioko Tanzania tumejiandaaje? Na M23 je?

Ninachotaka kusema ni kwamba hakuna aliye salama katika ugaidi na hili lililotokea Kenya linaweza kutokea kwetu hivyo ni lazima tuwe macho
 
Naona ajabu kuona maoni kama haya wakati tumepeleka majeshi yetu Congo juzi tu. Unaona kama Tanzania tuna bahati kutopeleka majeshi Somalia na kwamba Kenya wamejitakia haya yaliyowapata. Kwa ninavyojua mimi Kenya waliamua kupeleka majeshi Somalia kwa sababu ya choko choko za Al Shaabab na vile vile madhara ya vita ya Somalia yalikuwa yanawapata Wakenya moja kwa moja; kusababisha wakimbizi wengi wa Kisomali kujazana Kenya, matendo ya kijambazi na kuhatarisha amani ya Kenya kwa ujumla. Kwa maoni yangu Kenya walilazimika kupambana na Al Shaabab.

Kinachotakiwa kwa Serikali ya Tanzania ni kujiandaa kukabiliana na matukio ya kigaidi kama hili lililotokea Kenya. Kama unakumbuka magaidi walishambulia Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam kwa kisingizio kwamba wanapambana na udhalimu wa Marekani, sasa jiulize Wamarekani wangapi walikufa na Watanzania wangapi walikufa? Unadhani aliyeumia ni nani kati ya Tanzania na Marekani? Je, hakuna investment za Wakenya hapo kwetu? Vipi kama hao Al Shaabab wakiwafuata Wakenya walioko Tanzania tumejiandaaje? Na M23 je?

Ninachotaka kusema ni kwamba hakuna aliye salama katika ugaidi na hili lililotokea Kenya linaweza kutokea kwetu hivyo ni lazima tuwe macho
Unataka kusema kuwa kile kilichotokea Kenya kikisababishwa na Al-Shabab chaweza kutokea Tanzania kikisababishwa na M23 kwa kuwa Kenya ilipeleka majeshi Somalia na Tz imepeleka majeshi Congo??
 
Naona ajabu kuona maoni kama haya wakati tumepeleka majeshi yetu Congo juzi tu. Unaona kama Tanzania tuna bahati kutopeleka majeshi Somalia na kwamba Kenya wamejitakia haya yaliyowapata. Kwa ninavyojua mimi Kenya waliamua kupeleka majeshi Somalia kwa sababu ya choko choko za Al Shaabab na vile vile madhara ya vita ya Somalia yalikuwa yanawapata Wakenya moja kwa moja; kusababisha wakimbizi wengi wa Kisomali kujazana Kenya, matendo ya kijambazi na kuhatarisha amani ya Kenya kwa ujumla. Kwa maoni yangu Kenya walilazimika kupambana na Al Shaabab.

Kinachotakiwa kwa Serikali ya Tanzania ni kujiandaa kukabiliana na matukio ya kigaidi kama hili lililotokea Kenya. Kama unakumbuka magaidi walishambulia Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam kwa kisingizio kwamba wanapambana na udhalimu wa Marekani, sasa jiulize Wamarekani wangapi walikufa na Watanzania wangapi walikufa? Unadhani aliyeumia ni nani kati ya Tanzania na Marekani? Je, hakuna investment za Wakenya hapo kwetu? Vipi kama hao Al Shaabab wakiwafuata Wakenya walioko Tanzania tumejiandaaje? Na M23 je?

Ninachotaka kusema ni kwamba hakuna aliye salama katika ugaidi na hili lililotokea Kenya linaweza kutokea kwetu hivyo ni lazima tuwe macho
Mimi nashangaa lakini kwa namna nyingine nadhani nakosea kushangaa kwa sababu Watanzania tunaongozwa na genge lisilo na dira, CCM. Leo hii kiongozi wa Somalia Raisi Hassan Sheikh Mohamud amenukuliwa akikilaani hiki kikundi cha al-Shabab na kuonya kwamba kisipothibitiwa, hatari inayoinyemela, si Kenya tu, bali sehemu hii ya bara la Afrika si ndogo. Al-Shabab hata kabla ya Kenya kupeleka askari wake huko, walikuwa wakifanya vitendo vya hujuma na vya kigaidi dhidi ya Kenya na orodha ya vitendo hivyo si haba.

Tanzania kwa upande mwingine ilikataa kata kata kuruhusu askari wake kujiunga na vikosi vingine kulinda amani Somalia, well and good. Lakini kitendo cha Tanzania kukubali tena haraka haraka kupeleka majeshi yake Congo kupambana na M23 kinaacha maswali mengi kuliko majibu ingawa kwa wengi kilikubalika. Kinachonishangaza na kuniacha hoi ni kwamba Watanzania wale wale waliounga mkono askari wetu kupelekwa kumsaidia Kabila ndio hao hao wanailaumu Kenya kupeleka majeshi yake Somalia! Ni undumilakuwili au unafiki?
 
Tanzania haikupeleka majeshi Somalia kwa vile Ina uhusiano wa karibu na Al Shabaab kupitia kwa viongozi wake wakuu kama akina Kinana. Zipo stori mitaani kuwa hata meli za Kinana zimehusika kuwapatia silaha Al Shabaab kwa siri. PIA muanzilishi WA Al Shabaab ndugu Mohamed Siad Barre Ana uwekezaji mkubwa Tanzania zikiwemo hotel za TanSoma (Tanzania - Somalia) na Paradise na pia anamiliki viwanda kadhaa na biashara kubwa ya Malori ya Mizigo. At one point aliwahi kutiliwa shaka na CIA akalazimika kuchoma Moto hotel yake ya Bagamoyo na kuuza ile ya Benjamini Mkapa Tower kwa Justace Baguma WA JB Belmonte. Sasa hivi Siad Barre hajitokezi Sana hadharani lakini Ni mfadhili mkubwa Sana WA CCM.

Kwa maana hiyo Tanzania haikukataa kwenda Somalia kwa kufuata sera za ujamaa, Ni kwa sababu ya urafiki WA karibu Kati ya CCM na Al Shabaab. Kinana akiwa ndio kiungo muhimu na meneja kampeni WA Kikwete. Haikuwa bahati mbaya kukataa, Ni mpango uliopangwa na huenda hata ile bunduki iliyomuua mama mjamzito WA miezi Saba aliyekuwa ana host kipindi cha mapishi cha watoto ilipelekwa Somalia na meli ya Kinana na Tanzania imehusika kwa njia moja au nyingine. Tuwaombe msamaha majirani zetu Kenya kwa tamaa ya mali na ufisadi wa viongozi wa CCM ndio vimeijenga Al Shabaab
 
Unataka kusema kuwa kile kilichotokea Kenya kikisababishwa na Al-Shabab chaweza kutokea Tanzania kikisababishwa na M23 kwa kuwa Kenya ilipeleka majeshi Somalia na Tz imepeleka majeshi Congo??

Hakiwezi kutokea kwa vile M23 sio Waislam. Pia malengo ya vita ya Al Shabaab na M23 ni tofauti, kuna wanaotaka kueneza dini ya kiislam na wanaopigania madini kwa kutumiwa na wenye tamaa ya mali za Kongo.
 
Tanzania haikupeleka majeshi Somalia kwa vile Ina uhusiano wa karibu na Al Shabaab kupitia kwa viongozi wake wakuu kama akina Kinana. Zipo stori mitaani kuwa hata meli za Kinana zimehusika kuwapatia silaha Al Shabaab kwa siri. PIA muanzilishi WA Al Shabaab ndugu Mohamed Siad Barre Ana uwekezaji mkubwa Tanzania zikiwemo hotel za TanSoma (Tanzania - Somalia) na Paradise na pia anamiliki viwanda kadhaa na biashara kubwa ya Malori ya Mizigo. At one point aliwahi kutiliwa shaka na CIA akalazimika kuchoma Moto hotel yake ya Bagamoyo na kuuza ile ya Benjamini Mkapa Tower kwa Justace Baguma WA JB Belmonte. Sasa hivi Siad Barre hajitokezi Sana hadharani lakini Ni mfadhili mkubwa Sana WA CCM.

Kwa maana hiyo Tanzania haikukataa kwenda Somalia kwa kufuata sera za ujamaa, Ni kwa sababu ya urafiki WA karibu Kati ya CCM na Al Shabaab. Kinana akiwa ndio kiungo muhimu na meneja kampeni WA Kikwete. Haikuwa bahati mbaya kukataa, Ni mpango uliopangwa na huenda hata ile bunduki iliyomuua mama mjamzito WA miezi Saba aliyekuwa ana host kipindi cha mapishi cha watoto ilipelekwa Somalia na meli ya Kinana na Tanzania imehusika kwa njia moja au nyingine. Tuwaombe msamaha majirani zetu Kenya kwa tamaa ya mali na ufisadi wa viongozi wa CCM ndio vimeijenga Al Shabaab

duhhhhh...Yanatisha haya atii
 
Tanzania haikupeleka majeshi Somalia kwa vile Ina uhusiano wa karibu na Al Shabaab kupitia kwa viongozi wake wakuu kama akina Kinana. Zipo stori mitaani kuwa hata meli za Kinana zimehusika kuwapatia silaha Al Shabaab kwa siri. PIA muanzilishi WA Al Shabaab ndugu Mohamed Siad Barre Ana uwekezaji mkubwa Tanzania zikiwemo hotel za TanSoma (Tanzania - Somalia) na Paradise na pia anamiliki viwanda kadhaa na biashara kubwa ya Malori ya Mizigo. At one point aliwahi kutiliwa shaka na CIA akalazimika kuchoma Moto hotel yake ya Bagamoyo na kuuza ile ya Benjamini Mkapa Tower kwa Justace Baguma WA JB Belmonte. Sasa hivi Siad Barre hajitokezi Sana hadharani lakini Ni mfadhili mkubwa Sana WA CCM.

Kwa maana hiyo Tanzania haikukataa kwenda Somalia kwa kufuata sera za ujamaa, Ni kwa sababu ya urafiki WA karibu Kati ya CCM na Al Shabaab. Kinana akiwa ndio kiungo muhimu na meneja kampeni WA Kikwete. Haikuwa bahati mbaya kukataa, Ni mpango uliopangwa na huenda hata ile bunduki iliyomuua mama mjamzito WA miezi Saba aliyekuwa ana host kipindi cha mapishi cha watoto ilipelekwa Somalia na meli ya Kinana na Tanzania imehusika kwa njia moja au nyingine. Tuwaombe msamaha majirani zetu Kenya kwa tamaa ya mali na ufisadi wa viongozi wa CCM ndio vimeijenga Al Shabaab

kama uliyoandika hapo ni kweli bas kwa kifupi ccm ni alshababu kwa sababu huwezi kuwa rafiki wa jambazi wewe usiwe jambazi
 
Hawa jamaa wa CCM watatumaliza mbona. Wametubana kila kona kwa mambo yao machafu.
Tanzania tutapona na mashambulizi ya alshababu na ccm, one day watakuja kutulipua hawa jamaa, ndiyo maana Savimbi Arusha alishambulia kwa mabomu
 
Mtoa mada , you are confused.
Kwanza wala hujui mana ya Ujamaa kama itikadi.
Na Ujamaa has nothing to do with kupeleka au kutopeleka majeshi Somalia, mbona majeshi yameenda Comoro na Kongo?

Kila decision ya matumizi ya jeshi letu nje ya nchi yanakuwa assessed on matters of strategic and national interests na si vinginevyo.

Kwa taarifa yako ujamaa as a policy is dead lakini kujitegemea as an objective policy kuko pale pale
 
Mtoa mada , you are confused.
Kwanza wala hujui mana ya Ujamaa kama itikadi.
Na Ujamaa has nothing to do with kupeleka au kutopeleka majeshi Somalia, mbona majeshi yameenda Comoro na Kongo?

Kila decision ya matumizi ya jeshi letu nje ya nchi yanakuwa assessed on matters of strategic and national interests na si vinginevyo.

Kwa taarifa yako ujamaa as a policy is dead lakini kujitegemea as an objective policy kuko pale pale
You are trying to pervert!

Soma hii Tanzania haikupeleka majeshi Somalia kwa vile Ina uhusiano wa karibu na Al Shabaab kupitia kwa viongozi wake wakuu kama akina Kinana. Zipo stori mitaani kuwa hata meli za Kinana zimehusika kuwapatia silaha Al Shabaab kwa siri. PIA muanzilishi WA Al Shabaab ndugu Mohamed Siad Barre Ana uwekezaji mkubwa Tanzania zikiwemo hotel za TanSoma (Tanzania - Somalia) na Paradise na pia anamiliki viwanda kadhaa na biashara kubwa ya Malori ya Mizigo. At one point aliwahi kutiliwa shaka na CIA akalazimika kuchoma Moto hotel yake ya Bagamoyo na kuuza ile ya Benjamini Mkapa Tower kwa Justace Baguma WA JB Belmonte. Sasa hivi Siad Barre hajitokezi Sana hadharani lakini Ni mfadhili mkubwa Sana WA CCM.

Kwa maana hiyo Tanzania haikukataa kwenda Somalia kwa kufuata sera za ujamaa, Ni kwa sababu ya urafiki WA karibu Kati ya CCM na Al Shabaab. Kinana akiwa ndio kiungo muhimu na meneja kampeni WA Kikwete. Haikuwa bahati mbaya kukataa, Ni mpango uliopangwa na huenda hata ile bunduki iliyomuua mama mjamzito WA miezi Saba aliyekuwa ana host kipindi cha mapishi cha watoto ilipelekwa Somalia na meli ya Kinana na Tanzania imehusika kwa njia moja au nyingine. Tuwaombe msamaha majirani zetu Kenya kwa tamaa ya mali na ufisadi wa viongozi wa CCM ndio vimeijenga Al Shabaab
 
Lakini kitendo cha Tanzania kukubali tena haraka haraka kupeleka majeshi yake Congo kupambana na M23 kinaacha maswali mengi kuliko majibu ingawa kwa wengi kilikubalika. Kinachonishangaza na kuniacha hoi ni kwamba Watanzania wale wale waliounga mkono askari wetu kupelekwa kumsaidia Kabila ndio hao hao wanailaumu Kenya kupeleka majeshi yake Somalia! Ni undumilakuwili au unafiki?
Musia
Kupeleka majeshi kule Drc ni uamuzi ya Sadc, baada Rwd kushambulia Drc kupitia M23. Nazani kuna tofauti kubwa baina ya M23 na Al shabab, m23 ni pure rwandan agression lakini alshabab ni magaidi wenye wanateka dini ya Kiislamu.

Ndugu, sizani kama kuna unafiki au undumilakuwili, nimesha( siyo mimi,lakini different investigation news paper ) sema : Kenya kuenda kule Somalia ni baada West na Israel kuwasupport logistically na intelligence .
Don't be afraid to read different links that I have provided, I know some of my compatriot are lazy . don't be angry . :)
 
Last edited by a moderator:
Tanzania haikupeleka majeshi Somalia kwa vile Ina uhusiano wa karibu na Al Shabaab kupitia kwa viongozi wake wakuu kama akina Kinana. Zipo stori mitaani kuwa hata meli za Kinana zimehusika kuwapatia silaha Al Shabaab kwa siri. PIA muanzilishi WA Al Shabaab ndugu Mohamed Siad Barre Ana uwekezaji mkubwa Tanzania zikiwemo hotel za TanSoma (Tanzania - Somalia) na Paradise na pia anamiliki viwanda kadhaa na biashara kubwa ya Malori ya Mizigo. At one point aliwahi kutiliwa shaka na CIA akalazimika kuchoma Moto hotel yake ya Bagamoyo na kuuza ile ya Benjamini Mkapa Tower kwa Justace Baguma WA JB Belmonte. Sasa hivi Siad Barre hajitokezi Sana hadharani lakini Ni mfadhili mkubwa Sana WA CCM.

Kwa maana hiyo Tanzania haikukataa kwenda Somalia kwa kufuata sera za ujamaa, Ni kwa sababu ya urafiki WA karibu Kati ya CCM na Al Shabaab. Kinana akiwa ndio kiungo muhimu na meneja kampeni WA Kikwete. Haikuwa bahati mbaya kukataa, Ni mpango uliopangwa na huenda hata ile bunduki iliyomuua mama mjamzito WA miezi Saba aliyekuwa ana host kipindi cha mapishi cha watoto ilipelekwa Somalia na meli ya Kinana na Tanzania imehusika kwa njia moja au nyingine. Tuwaombe msamaha majirani zetu Kenya kwa tamaa ya mali na ufisadi wa viongozi wa CCM ndio vimeijenga Al Shabaab

Huna uzalendo na Tanzania,na pengine wewe ndio al shaabab mwenyewe.How come unaongea kama mtu asiye na tone la brain.Amakweli Jamvi hili lina watu wenye small brains.How could you write post very awkward thouts as this?.People must change

 
Naona ajabu kuona maoni kama haya wakati tumepeleka majeshi yetu Congo juzi tu. Unaona kama Tanzania tuna bahati kutopeleka majeshi Somalia na kwamba Kenya wamejitakia haya yaliyowapata. Kwa ninavyojua mimi Kenya waliamua kupeleka majeshi Somalia kwa sababu ya choko choko za Al Shaabab na vile vile madhara ya vita ya Somalia yalikuwa yanawapata Wakenya moja kwa moja; kusababisha wakimbizi wengi wa Kisomali kujazana Kenya, matendo ya kijambazi na kuhatarisha amani ya Kenya kwa ujumla. Kwa maoni yangu Kenya walilazimika kupambana na Al Shaabab.

Ki

Na ndio maana tupo CONGO leo.
 
Tanzania haikupeleka majeshi Somalia kwa vile Ina uhusiano wa karibu na Al Shabaab kupitia kwa viongozi wake wakuu kama akina Kinana. Zipo stori mitaani kuwa hata meli za Kinana zimehusika kuwapatia silaha Al Shabaab kwa siri. PIA muanzilishi WA Al Shabaab ndugu Mohamed Siad Barre Ana uwekezaji mkubwa Tanzania zikiwemo hotel za TanSoma (Tanzania - Somalia) na Paradise na pia anamiliki viwanda kadhaa na biashara kubwa ya Malori ya Mizigo. At one point aliwahi kutiliwa shaka na CIA akalazimika kuchoma Moto hotel yake ya Bagamoyo na kuuza ile ya Benjamini Mkapa Tower kwa Justace Baguma WA JB Belmonte. Sasa hivi Siad Barre hajitokezi Sana hadharani lakini Ni mfadhili mkubwa Sana WA CCM.

Kwa maana hiyo Tanzania haikukataa kwenda Somalia kwa kufuata sera za ujamaa, Ni kwa sababu ya urafiki WA karibu Kati ya CCM na Al Shabaab. Kinana akiwa ndio kiungo muhimu na meneja kampeni WA Kikwete. Haikuwa bahati mbaya kukataa, Ni mpango uliopangwa na huenda hata ile bunduki iliyomuua mama mjamzito WA miezi Saba aliyekuwa ana host kipindi cha mapishi cha watoto ilipelekwa Somalia na meli ya Kinana na Tanzania imehusika kwa njia moja au nyingine. Tuwaombe msamaha majirani zetu Kenya kwa tamaa ya mali na ufisadi wa viongozi wa CCM ndio vimeijenga Al Shabaab

unanifanya nazid kuwachukia maccm mkuu ....
 
Huna uzalendo na Tanzania,na pengine wewe ndio al shaabab mwenyewe.How come unaongea kama mtu asiye na tone la brain.Amakweli Jamvi hili lina watu wenye small brains.How could you write post very awkward thouts as this?.People must change

Prove me wrong by coming with your side of the story. Al Shabaab can be anybody, even you. We hujiulizi wale mamia ya wasomali wanaouza Computer Kariakoo wameingiaje nchini na kwa nini Operation Kimbunga haiendi Kariakoo. Your days are numbered nyie maCCM.
 
Mtoa mada , you are confused.
Kwanza wala hujui mana ya Ujamaa kama itikadi.
Na Ujamaa has nothing to do with kupeleka au kutopeleka majeshi Somalia, mbona majeshi yameenda Comoro na Kongo?

Kila decision ya matumizi ya jeshi letu nje ya nchi yanakuwa assessed on matters of strategic and national interests na si vinginevyo.

Kwa taarifa yako ujamaa as a policy is dead lakini kujitegemea as an objective policy kuko pale pale

I note that your conception of Ujamaa is based only in internal affair then on internal and external . you won't get any country in the world where internal affair is not influence by the foreign policy and vice versa. An example is China , one party , communist , and non interference policy , ....
To send troop in Comoros and DRC , if am not wrong , is a decision of African leaders respectively AU and SADC.

a clarification of your concept of ujamaa is welcome , to see where we diverge .
 
Back
Top Bottom