MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Nape kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi amempongeza kijana Nasari na kusema "Tunampongeza Joshua Nasari na hakuna hujuma yoyote uchaguzi ulikuwa huru na haki", lakini pia akawapongeza wananchi wa jimbo la Arumeru kwani hiyo ndiyo Demokrasia yao.
NIMEAMUA KUTUMIA VAZI LA CHADEMA KWA KUWA NALIPENDA ; NIMEKOSA UVUMILIVU, KIDUMU CCM