Nape amekamilisha operesheni lipa deni na kueleza kuwa haikukigawa chama kama baadhi ya watu wanavyodai. My concern: Hivi operesheni hii itakamilikaje wakati bado tunawadai?
WEWE KWANI KUNA OPERATION LIPA DENI YA CCM?? ILIFANYIKA LINI NA PIA WAPI?? AU NAPE ANAISHINIKIZA SERIKALI YA CCM ILIPE DENI LA NJE??
UYU DOGO MTATANISHI SANA, LEO KAJIINGIZA KATIKA AYO MASUALA INAKUWAJE AU NDO WAZIRI KIVULI WA FEDHA KWA UPANDE WA CCM?? AAH NIMECHEKA SANA, EBU MKUU DADAVUA ZAIDi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.