Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 878
- 4,108
Operesheni 255 iliyopigwa kanda ya ziwa na Kusini iliwaibua akina kinana na Chongoro kuingia mtaani. Waliposhindwa kushawishi watu ikalazimu ateuliwe Naibu WAZIRI Mkuu ambaye naye pia amepita mtaani watu wamemkataa kimtindo.
Lakini pia operesheni ile iliondoka na katibu Mwenezi na baadaye umeondoa Katibu Mkuu wa Chama changu. Kupitia operesheni ile tumeona mabadiliko ya baraza la mawaziri na wajibu hoja wameongezeka wizarani.
Niwaombe akina Mbowe na kikosi chake kiingie tena mtaani yapo mambo mengi yamekwama. Mkisimama majukwaani watu wanakosa usingizi. Anzeni mwaka mpya kwa non stop wananchi tukumbukwe na wakubwa watumbuane.
Lakini pia operesheni ile iliondoka na katibu Mwenezi na baadaye umeondoa Katibu Mkuu wa Chama changu. Kupitia operesheni ile tumeona mabadiliko ya baraza la mawaziri na wajibu hoja wameongezeka wizarani.
Niwaombe akina Mbowe na kikosi chake kiingie tena mtaani yapo mambo mengi yamekwama. Mkisimama majukwaani watu wanakosa usingizi. Anzeni mwaka mpya kwa non stop wananchi tukumbukwe na wakubwa watumbuane.