Nape na mafisadi wa CHADEMA

Hoja gani ya kujibiwa?
 

Ndugu yangu nilikuwa nakuheshimu sana , tena nikadani wewe ni kijana makini kumbe bure kabisa you deservr to wear that green Gamba, yaani wewe ufisadi unaosababisha nchi isiende unaona tuuache , tujadili nini sasa wewe na rais wako aliyeenda kutembela wagonjwa hospital na kuona tu jinsi wanavyoteseka bila hta kupeleka dawa kwa kuwa hazikuwepo mnafanana for each and everything, usifikiri watu ni wajinga kama wewe ulivyo, pia Nape siyo Makini kama unavyodai, mtu yeyote aliye makini hawezi kuteuliwa na Jk akakubali au tuonyeshe ni kipi alichowahi kufanya Nape akaonekana makini dont rose from now where na uanze kudanganya na kuleta story zenu za magamba hapa
You are young like us lakini unachozungumza it like kimezungumzwa na mzee wa umri wa kingunge , leo watumishi wa umma hawajalipwa mishahara sababu ya ufisadi, barabara haziishi cause of ufisadi,madawa hospital ,mashule, no walimu, mikataba mibovu, viongozi wabovu kama wewe,nchi kukosa dira pamoja na mengine yafananayo na hayo yote ni kwa sababu ya UFISADI

SASA KWA AKILI YAKO UNATAKA TUJADILI NINI?
THINK BEFORE YOU ACT
 
ruzuku mlioyotumia kununua magari machakavu ni ufisadi wa hali ya juu
 

This is the most candid admission ever to be given by a CDM sympathiser. You have really made a wonderful statement of intent and revealed what other people would sweep under the carpet.
 
 
Mbopo una matatizo makubwa sana.
Upo ki govi govi tu! Hakuna kitu!
 
Kazi kwelikweli, awataje hao mafisadi cdm tupime na kuchukua hatua, lakini yeye alisema barua ziko tayari kuwakabidhi hao mapacha watatu hadi leo kimya na sasa amebadili topic toka kuwashughulikia waliondani ya magamba hadi sasa yuko cdm kushughulikia mafisadi. Kweli sisiem ni Sikio la kufa .................
 
This is the most candid admission ever to be given by a CDM sympathiser. You have really made a wonderful statement of intent and revealed what other people would sweep under the carpet.

If we want to have a better government we have to prepare it now,and we don't need to prepare
it by hiding some facts,...
 
huyo Nape hajaongea tu mbona kimya au alikuwa anatishia nyau????
 

mkuu hii nimeitoa kwenye gazeti lao la propaganda la
jamba leo,...
kwakua walikua wana waambia wana ccm wenzao,nimeona wakitaja hayo
majina,chadema wasijibu kama ccm kua "sio kweli" ila wayafanyie uchunguzi.
Na kama hao mafisadi wata kuwepo kweli basi chadema ioneshe mfano wa
jinsi itakavo pambana na ufisadi ikichukua uongozi wa Tanganyika,...
kama nilivo sema hapo juu,sijasikia popote akitaja,labda tusubiri magazeti ya kesho
 
 
Here we are. tumechoka na wimbo wa ufisadi, tubadilishe chorus, tufanye mambo ya msingi.

Sizani kama ufisadi ni wimbo bali ni vita so hatuwezi kuacha kupigana vita hii ya ufisadi no matter umefanyika wapi CDM au CCM Ila kama unaathiri maisha ya mtanzania then lazima ipingwe,
Just imagine kama kila mwananchi akawa ethical kwa kila kitu unadhani Tanzania ingekuwa vipi? Tafakari chukua atua
 
Well stated mkuu!
 
Kaongelea hayo hayo maununuz wa magar chakavu na mshahara mil.7.wa dr.slaa
 

Mchambuzi heshimu mkuu,
Kwanza Nape sio makini kabisa, angekuwa makini na ujana wake asinge ropoka, kama kweli hawakujadiliana kuwafukuza mafisadi , kwanini aje na uzushi, sasa mafisadi hawafukuzwi na bado mnamwita makini labda umakini CCM unamaana nyingine.

Ndugu Mchambuzi, ukiwa mtaalamu wa uchumi nafikiri unajua kabisa huwezi kuendelea kuendesha nchi kwa kukusanya mapato kama kuna wizi, rushwa, mikataba mibovu na uzembe unaosababisha serikali kushindwa kujiendesha na kuletea wananchi wake maendeleo. Kukataa kuliongelea hili tatizo ni kuficha maradhi.

Wizi, rushwa, mikataba mibovu na aina yote ya ufisadi ndio vinasababisha hasara kubwa sana ya mapato ya taifa. Rushwa imesababisha mpaka leo nchi ipo gizani ikisaidiwa na mikabata mibovu, angali IPTL, Richmond nk. Na Rushwa hii inazaa kukataa miradi yote ya kudumu ya nishati kwani wanakula kwenye mikataba ya mlipuko hawako tayari kuiona serikali wanayoitumikia ikitatua tatizo.

Kama umewahi kungalia ripoti ya CAG utaona fedha nyingi zinavyopotea kwenye mikono ya mafisadi, ukusanyaji wa ushuru, matumizi mabovu ya halamashauri, ikulu, na wizara karibu zote. Nchi ingeweza kujiendesha kwa asilimia kubwa kama tungeziba mianya ya ufisadi wa aina yote kwa asilimia angalau 75.

Mfumuko wa bei unasababishwa na fedha chafu za ufisadi. Leo mtu kaiba bilioni kadhaa anataka kiwanja kwa bei yeyote, wanapandisha bei ya bidhaa kwani hawana jasho na fedha, na tuposema ufisadi tunamaanisha kuanzia rushwa za bandari, TRA, Polisi, mahakama, wizara, hospitali nk. Kama wengi wenye akili wang'eishi kwa pato halali mfumoko wa bei using'ekuwa mkubwa hivyo. Ila kubwa zaidi ni pale serikali inaposhindwa kuziba mianya ya wizi, rushwa, na uzembe hata pale ilipowazi kuona.

Kwa hiyo mheshimiwa mchambuzi, unataka tuakae kimya haya yote yakitokea ukitegemea nchi kuendelea. Kweli mchambuzi nawe hutaki kuwa bilionea kwa pato halali kwa miaka minne kama Riz1? Kwanini tusiambiwe hizo biashara halali au ni kodi za wananchi? Fedha zinazopotea kwa wasteful spending zinaweza kuifanya nchi indelee hata centimeters kadhaa kwa mwaka.

Mtaalalumu yeyote au mshauri yeyote kabla hajashauri lazima ajue matatizo yako kwa kina kabla hajakusaidia kuyatatua. na ni kawaida ya wanaoshindwa kuogopa kusema nini matatizo na wanayaogopa hata kuyataja.

Mchambuzi naomba utuletee kitu zaidi kinachotufanya masikini zaidi ya Rushwa, uzembe, wizi, mikataba mibovu, ubakaji wa demokrasia na kutokuwajibika na kwa neno moja tunaita UFISADI.
 

Mchambuzi heshimu mkuu,
Kwanza Nape sio makini kabisa, angekuwa makini na ujana wake asinge ropoka, kama kweli hawakujadiliana kuwafukuza mafisadi , kwanini aje na uzushi, sasa mafisadi hawafukuzwi na bado mnamwita makini labda umakini CCM unamaana nyingine.

Ndugu Mchambuzi, ukiwa mtaalamu wa uchumi nafikiri unajua kabisa huwezi kuendelea kuendesha nchi kwa kukusanya mapato kama kuna wizi, rushwa, mikataba mibovu na uzembe unaosababisha serikali kushindwa kujiendesha na kuletea wananchi wake maendeleo. Kukataa kuliongelea hili tatizo ni kuficha maradhi.

Wizi, rushwa, mikataba mibovu na aina yote ya ufisadi ndio vinasababisha hasara kubwa sana ya mapato ya taifa. Rushwa imesababisha mpaka leo nchi ipo gizani ikisaidiwa na mikabata mibovu, angali IPTL, Richmond nk. Na Rushwa hii inazaa kukataa miradi yote ya kudumu ya nishati kwani wanakula kwenye mikataba ya mlipuko hawako tayari kuiona serikali wanayoitumikia ikitatua tatizo.

Kama umewahi kungalia ripoti ya CAG utaona fedha nyingi zinavyopotea kwenye mikono ya mafisadi, ukusanyaji wa ushuru, matumizi mabovu ya halamashauri, ikulu, na wizara karibu zote. Nchi ingeweza kujiendesha kwa asilimia kubwa kama tungeziba mianya ya ufisadi wa aina yote kwa asilimia angalau 75.

Mfumuko wa bei unasababishwa na fedha chafu za ufisadi. Leo mtu kaiba bilioni kadhaa anataka kiwanja kwa bei yeyote, wanapandisha bei ya bidhaa kwani hawana jasho na fedha, na tuposema ufisadi tunamaanisha kuanzia rushwa za bandari, TRA, Polisi, mahakama, wizara, hospitali nk. Kama wengi wenye akili wang'eishi kwa pato halali mfumoko wa bei using'ekuwa mkubwa hivyo. Ila kubwa zaidi ni pale serikali inaposhindwa kuziba mianya ya wizi, rushwa, na uzembe hata pale ilipowazi kuona.

Kwa hiyo mheshimiwa mchambuzi, unataka tuakae kimya haya yote yakitokea ukitegemea nchi kuendelea. Kweli mchambuzi nawe hutaki kuwa bilionea kwa pato halali kwa miaka minne kama Riz1? Kwanini tusiambiwe hizo biashara halali au ni kodi za wananchi? Fedha zinazopotea kwa wasteful spending zinaweza kuifanya nchi indelee hata centimeters kadhaa kwa mwaka.

Mtaalalumu yeyote au mshauri yeyote kabla hajashauri lazima ajue matatizo yako kwa kina kabla hajakusaidia kuyatatua. na ni kawaida ya wanaoshindwa kuogopa kusema nini matatizo na wanayaogopa hata kuyataja.

Mchambuzi naomba utuletee kitu zaidi kinachotufanya masikini zaidi ya Rushwa, uzembe, wizi, mikataba mibovu, ubakaji wa demokrasia na kutokuwajibika na kwa neno moja tunaita UFISADI.
 
Tunamkaribisha sana tena kwa mikono miwili...!! alete hiyo list watu wataifanyia kazi kama ni ya ukweli...!!! Ila me nataka kumuuliza Nape, vp mbona petrol inayounguza nyumba yakO haidispose anataka kwenda kuanza kuchunguza nyumba za watu kama nazo zina hiyo bizaa ndani..!! JIOKOE KWANZA WW NAPE ACHA KUKURUPUKA...!! MTATEKETEA OOHOOO...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…