Nape na Kinana ni bora kuliko Polepole na Bashiru

Mubby777

JF-Expert Member
Oct 17, 2018
1,638
5,646
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
 
SUKUMA GANG ni washamba
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
 
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
2025 ndo utajua nani ni nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cha ubora wala nini na lini CCM imewahi kushinda chaguzi za urais kwa kura.?

Waliokuwepo Oysterbay kwenye kile chumba wanafanya tampering mnajidai mmewasahau?

Kama walizunguka walikuwa na sababu ya kufanya kile walichofanya?

Wake up we're no longer in dark era !
 
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
Nakuuliza wewe chuki binafsi!

Kwamba !
Kinana (mzee wa kusafirisha ndovu)
Na
Nape
(Mzee wa goli la mkono).

Walikuwa wanafufua chama kilichouwawa na nani?

Wauwe wao halafu wafufuwe wao?

Muwe mnatunza kumbukumbu vizuri.

Bashiru aliongoza tume iliyoundwa kukusanya na kuorodhesha mali zote za CCM.

Mmojawapo wa watuhumiwa waliokutwa na ubadhirifu mkubwa ni huyo Nape Nauye ambaye alikuwa ameficha mpaka V8 mpya za chama nyumbani kwake.
Achilia mbali uuzwaji wa kifisadi mitambo ya Tanzania printpark na Chanel Ten TV.
Yoote hayo JPM alisamehe.

Huyu Kinana yeye alifikia mahali mpaka akasajili meli na kuitumia kusafirisha meno ya tembo toka nchini kwenda ughaibuni.
Mpaka pale ilipokamatwa na Interpol .
Sauti za yeye kumkashifu marehemu JPM zilivuja mitandaoni,lakini JPM alisamehe.ingekuwa ni huyu mama sijui ingekuwaje?

Yule Bulembo yeye shule za iliyokuwa TAPA, jumuia ya wazazi aliziuza kama mali yake.
Mfano hai kule Musoma kuna kesi iko mahakamani hivi tunavyoongea. Ni sekondari ya Isango.

Sasa hawa leo ndio watetezi wa Mh Samia?

Ushindi mkubwa wa kihistoria kwa CCM ulitokea chini ya uongozi wa hao unaowaita Mapimbi.haijawahi kutokea.

Watanzania tuna laana ya wizi unafiki, na uvivu na hatupendi ukweli na wakweli wake.

Huo ndio uhalisia
....acheni kuishi kwa visasi

2025 sio mbali na hakika CCM na mama yao huyu watawajua Watanzania wa leo.

MUNGU IBARIKI AFRIKA NA UWABANIKE WANAFIKI WA AFRIKA.

TANZANIA IWE NA AMANI mengine yatajinyoosha yenyewe kama ambavyo katiba mpya inaelekea kujileta yenyewe.
 
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
Polepole ni takataka kabisa
 
Kuwa na heshima Kijana. Mzee Kinana sio wa kumfananisha na Mwalimu wa Chuo. Mzee Kinana ni mwanasiasa nguli barani Afrika. Amesimamia chaguzi zilizowaweka madarakani Hayati Mkapa, Mzee Kikwete na Mzee Magufuli.
 
Nakuuliza wewe chuki binafsi!

Kwamba !
Kinana (mzee wa kusafirisha ndovu)
Na
Nape
(Mzee wa goli la mkono).

Walikuwa wanafufua chama kilichouwawa na nani?

Wauwe wao halafu wafufuwe wao?

Muwe mnatunza kumbukumbu vizuri.

Bashiru aliongoza tume iliyoundwa kukusanya na kuorodhesha mali zote za CCM.

Mmojawapo wa watuhumiwa waliokutwa na ubadhirifu mkubwa ni huyo Nape Nauye ambaye alikuwa ameficha mpaka V8 mpya za chama nyumbani kwake.
Achilia mbali uuzwaji wa kifisadi mitambo ya Tanzania printpark na Chanel Ten TV.
Yoote hayo JPM alisamehe.

Huyu Kinana yeye alifikia mahali mpaka akasajili meli na kuitumia kusafirisha meno ya tembo toka nchini kwenda ughaibuni.
Mpaka pale ilipokamatwa na Interpol .
Sauti za yeye kumkashifu marehemu JPM zilivuja mitandaoni,lakini JPM alisamehe.ingekuwa ni huyu mama sijui ingekuwaje?

Yule Bulembo yeye shule za iliyokuwa TAPA, jumuia ya wazazi aliziuza kama mali yake.
Mfano hai kule Musoma kuna kesi iko mahakamani hivi tunavyoongea. Ni sekondari ya Isango.

Sasa hawa leo ndio watetezi wa Mh Samia?

Ushindi mkubwa wa kihistoria kwa CCM ulitokea chini ya uongozi wa hao unaowaita Mapimbi.haijawahi kutokea.

Watanzania tuna laana ya wizi unafiki, na uvivu na hatupendi ukweli na wakweli wake.

Huo ndio uhalisia
....acheni kuishi kwa visasi

2025 sio mbali na hakika CCM na mama yao huyu watawajua Watanzania wa leo.

MUNGU IBARIKI AFRIKA NA UWABANIKE WANAFIKI WA AFRIKA.

TANZANIA IWE NA AMANI mengine yatajinyoosha yenyewe kama ambavyo katiba mpya inaelekea kujileta yenyewe.
Ushindi upi huo wa kihistoria unaourejea ndugu? Ule wa maboksi ya kura feki? Wa kupitisha wagombea wa CCM kibao bila kupingwa?
 
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
Je Wewe ni kijani?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
Ni bora kabisa kwa biasha ya zile pembe za ndo..
 
Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake

Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto

Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani

Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
Kabisaaaa,,hawa Pimbi wawili SLOW SLOW NA BURUSHI wametumia mabavu, wakazika akili chini ya gluteaus Maxima minima
 
Back
Top Bottom