Nashangaa watu wanavyomsifu Pole pole but me sion kazi waliyofanya kwenye chama chetu hiki ye na mwemzake
Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto
Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani
Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?
Nape na Kinana waliipambania CCM 2015 kabla ya uchaguzi walizunguka nchi nzima wakipambana na kurudisha uhai wa chama huku wakikagua mirad iliyokuwa kwenye ilan ya chama
Nape na mwenzake walipambana na upinzani ukiwa wa moto
Hawa pimbi wawili Pole pole na Bashiru wamefanya nn zaid ya kuua upinzani kwa mabavu(kwa mamlaka ya kidikteta ya Mwendazake) na kununua wapinzani
Wapi waliimarisha chama au kupambania chama zaid ya kupambana kuua upinzani?