Tajiri wa kinyankole
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,973
- 4,891
CCM ya Shaka na nape ni CCM iliyojaa umaarufu wa sifa bila vitendo katika kutekekeza mambo mbalimbali yanayohusu serikali;
Ni CCM ya michakato ni ccm isiyo na ubunifu ni CCM ambayo hata uwe mbadhilifu kiasi gani utapewa nafasi nyingine ndani ya serikali
Ni CCM ambayo hatakama ulihusishwa na kashifa mbalimbali katika uongozi utapewa uongozi wowote bila kujali miluzi ya wananchi!
Ni CCM inayoamini ushindi upo hata tuongoze wananchi kwa mijeledi ni CCM
Ni CCM inayoamini chama kinawenyewe ni CCM inayiamini katika kundi flani ndiyo wenye nchi na ndiyo wanaostahiri kupewa uongozi!
Ni CCM ya iliyijificha katika kichaka cha demokrasia kumbe ni mbinu ya kulishana keki ya taifa kwa kuwaziba midomo wapinzani huku wabanchi wakikosa wakuwasemea.
CCM ya polepole ni CCM iliyoamini katika kazi kwa vitendo
Ni CCM iliyokuwa haina mchakato katika kuamua jambo
Ni CCM iliyoamini kila mtu anafaa kuwa kiongozi ndani ya chama hata nje ya chama
Ni CCM iliyoamini ili uwemchapakazi siyo lazima utoke ndani ya chama
Ni CCMiliyoangalia historia mbalimbali ya viongozi wake ndani ya chama kwa kuwapima utendaji wao na kuamua kuwaweka pembeni waliowengi ambao hakuwa na msaada wowote katika taifa zaidi ya fursa.
Ni CCM iliyoamini Tanzania tunaweza bila kuwapigia magoti nchi za nje
Ni CCM ambayo haikuamini kuwa chama kinawenyewe
Ni CCM iliyojijengea umaarufu kwa wananchi kwa uchapakazi ulioonekana mbele yao.
Ni CCM iliyianzisha miradi ya kimkakati na kutekelezwa kwa muda mfupi!
Ni CCM ambayo HAIKUJALI KATIKA DEMOKRASIA KWANI UPINZANI ULIOKUWEPO WALIJUA NI UPINZANI MASLAHI
Ni CCM ya michakato ni ccm isiyo na ubunifu ni CCM ambayo hata uwe mbadhilifu kiasi gani utapewa nafasi nyingine ndani ya serikali
Ni CCM ambayo hatakama ulihusishwa na kashifa mbalimbali katika uongozi utapewa uongozi wowote bila kujali miluzi ya wananchi!
Ni CCM inayoamini ushindi upo hata tuongoze wananchi kwa mijeledi ni CCM
Ni CCM inayoamini chama kinawenyewe ni CCM inayiamini katika kundi flani ndiyo wenye nchi na ndiyo wanaostahiri kupewa uongozi!
Ni CCM ya iliyijificha katika kichaka cha demokrasia kumbe ni mbinu ya kulishana keki ya taifa kwa kuwaziba midomo wapinzani huku wabanchi wakikosa wakuwasemea.
CCM ya polepole ni CCM iliyoamini katika kazi kwa vitendo
Ni CCM iliyokuwa haina mchakato katika kuamua jambo
Ni CCM iliyoamini kila mtu anafaa kuwa kiongozi ndani ya chama hata nje ya chama
Ni CCM iliyoamini ili uwemchapakazi siyo lazima utoke ndani ya chama
Ni CCMiliyoangalia historia mbalimbali ya viongozi wake ndani ya chama kwa kuwapima utendaji wao na kuamua kuwaweka pembeni waliowengi ambao hakuwa na msaada wowote katika taifa zaidi ya fursa.
Ni CCM iliyoamini Tanzania tunaweza bila kuwapigia magoti nchi za nje
Ni CCM ambayo haikuamini kuwa chama kinawenyewe
Ni CCM iliyojijengea umaarufu kwa wananchi kwa uchapakazi ulioonekana mbele yao.
Ni CCM iliyianzisha miradi ya kimkakati na kutekelezwa kwa muda mfupi!
Ni CCM ambayo HAIKUJALI KATIKA DEMOKRASIA KWANI UPINZANI ULIOKUWEPO WALIJUA NI UPINZANI MASLAHI