Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
NITAYAINUA MACHO YANGU NITAZAME MILIMA, MSAADA WANGU UTATOKA WAPI?
Mbona simuelewi mheshimiwa Nape?
NITAYAINUA MACHO YANGU NITAZAME MILIMA, MSAADA WANGU UTATOKA WAPI?
Mbona simuelewi mheshimiwa Nape?
mkuu unamanisha nini???fafanua.
Ni ujumbe wake kwenye facebook wall yake:
Mbona simuelewi mheshimiwa Nape?
"NITAYAINUA MACHO YANGU NITAZAME MILIMA, MSAADA WANGU UTATOKA WAPI?"
Nadhani Technician alimaanisha ujumbe hapo juu ambao kama sikosei ni nukuu kutoka maandiko matakatifu.
Unless Technician ulikuwa na maana taofauti hii...
Haswaaa....
Nukuu toka Facebook wall ya Mheshimiwa Nape Nnauye.