Nape bhna mwanzo alivyo fukuzwa na jpm nilimuone huruma Sana
bas bhna mungu si kaamua ugomvi jpm akaondoka wengi tukajuwa lzm arudi wizarani.jamaa alivyo rud alikuta gb 1 Ni buku hatujaa kaa sawa gb moja ikawa buku 3 hatujakaa sawa amekuwa msemaji wa makampuni hayo hayo ya simu yanayotunjonya vilivyo
Kwa kifupi sna mh waziri umeniudh Sanaa na mbya Zaid umesahau uliko toka