Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

Wana CCM wengi hawakuwa na shida juu ya watu kwenda kwa Lowasa, wenye shida na hao watu ni January makamba na Membe hawa Roho zinawauma sana yaani wanajisikia vibaya pindi wakiona watu kwa Lowasa, Fitna zote juu ya Lowasa chimbuko ni hawa wawili kwani ndiyo wanampatia Pesa Nape ili atumie mwanvuli wa chama kumsakama Lowasa kwa speed kubwa, nape yupo after money huku moyoni anamkubali Lowasa kiaina. Wabaya wa Lowasa kwa 100% ni Membe na January inabidi Lowasa abuni Mbinu kali ya kuwakabili kwani wana Mapesa mengi ya kuhonga watu, Membe ana mapesa ya marehemu Gadafi na January kapewa pesa na Rostam Aziz baada ya kuchepuka na Mdogo wake ni Aibu kubwa Kiongozi kutumia pesa za Mchepuko wa dada yake.

Tatizo hao Nape na Kinana kutofautiana kauli zao, mara Kinana anasema CCM haitofukuza waliojitokeza kugombea urais. Mara Nape aseme Lowasa amejiondoa mwenyewe katika kinyang'anyiro cha kugombea urais. Mara Kinana anamsifia Lowassa kwa uchapakazi na kumwambia Nyalandu ni mzururaji.

viongozi wa CCM pia wana mapungufu makubwa na wameshindwa kutambua nafasi zao kwa chama na wanachama wao, wangali wakijua maamuzi yoyote lazima yapitie vikao vya chama

mwenyekiti wao aliwahi kusema wanaoweza kujipitisha mbele za watu kuonyesha nia ya kugombea urais, Nape anazuia
 
Tatizo hao Nape na Kinana kutofautiana kauli zao, mara Kinana anasema CCM haitofukuza waliojitokeza kugombea urais. Mara Nape aseme Lowasa amejiondoa mwenyewe katika kinyang'anyiro cha kugombea urais. Mara Kinana anamsifia Lowassa kwa uchapakazi na kumwambia Nyalandu ni mzururaji.

viongozi wa CCM pia wana mapungufu makubwa na wameshindwa kutambua nafasi zao kwa chama na wanachama wao, wangali wakijua maamuzi yoyote lazima yapitie vikao vya chama

mwenyekiti wao aliwahi kusema wanaoweza kujipitisha mbele za watu kuonyesha nia ya kugombea urais, Nape anazuia
Mzee kinana yeye kaamua kuimaarisha chama huku moyoni ana Ajenda zake ni Mjanja hakurupuki kama Nape, kinana hataki kukwaluzana na watangaza na Lowasa Nadhani ni marafiki, Tatizo lipo kwa Nape yeye kapewa pesa na Membe na January ili amsakame Lowasa lakini moyoni Nape anamkubali kiaina japo pesa zinamlazimisha afanye kile alichotumwa na Membe na wenzake.
 
Nipo Tumboni mwako nimekutia njaa mpaka umekariri kuwa Riz Bado yupo kwa Membe, wewe Umekariri ni Vigumu sana kukubalisha, Nakwambia tena kuwa Membe walishamtosa kitambo kama wapo nae itakuwa wanamziuga tu kwa kuwa ni ndugu yao, propaganda unazo wewe mbishi usiyejua kuwa huwa kuna watu wanageuka baada ya kugundua ubaya fulani.

Mtoto wa mfalme hawezi kukubalika na mgombea mtarajiwa yeyote mwingine isipokuwa Membe!!
 
Mtoto wa mfalme hawezi kukubalika na mgombea mtarajiwa yeyote mwingine isipokuwa Membe!!

Hayaa ndugu yangu Naona umegoma kukubali kuwa anamzuga lakini hakuna shaka ngoja tuone mwisho wa hii movie utakuwaje.
 
Hayaa ndugu yangu Naona umegoma kukubali kuwa anamzuga lakini hakuna shaka ngoja tuone mwisho wa hii movie utakuwaje.

Nakushukuru kwa kujibu hoja kwa njia ya kistaarabu bila shaka umelelewa katika nyumba yenye maadili; hongera!!
 
Hivi jamani kama jk anaomba awahikumaliza mudawake ang'atuke wengine ndo kwanza wakoradh hata afe mtu yeye aende ikulu hapa kunajambo gan!
 
Nape akiwa Katibu Mwenezi wa CCM yuko sahihi kabisa katika kutoa tamko la chama na kumtahadharisha mzee wetu Lowassa kuvuta subira mpaka kipyenga cha kinyang'anyiro cha ursis ndani ya CCM kipulizwe.

Kila mgombea mtarajiwa ana mbinu zake na mikakati yake.
Sasa kama kila mgombea ataanza furugu za kugombea ilhali bado kipyenga hakijatangazwa hiyo inaitwa 'jumping the gun'.
Katika riadha hata kule Olympic , huwezi kufyatuka mbio mpaka usikie mlio wa bunduki.
Na kama utaondoka kabla ya mlio hiyo ni faulo ya kuweza kuwa disqualified.
Tunashukuru comredi Lowassa amelielewa somo hilo.
 
Nyie watu wa Membe huyo mgombea wenu wa kwenye briefcase anaweza shindana na Lowassa kweli?

Kumpa urais Msanii Membe ni kurudisha JK part 11
 
Nyie watu wa Membe huyo mgombea wenu wa kwenye briefcase anaweza shindana na Lowassa kweli?

Kumpa urais Msanii Membe ni kurudisha JK part 11
Naona hulioni tatizo.
Mi si mtu wa Membe bali wa CCM.
Litizame kutoka perpective ya CCM, kila mgombea akianza manjonjo yake itakuwa furugu.
 
Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM,nimeona nikushauri maana ninajua jukwaa hili ni rahisi kwako kupata ujumbe wangu.

Umekuwa na utamaduni wa kuwasema vibaya wanaotangaza nia ya kugombea urais au wanaonesha nia kupitia chama chako.

tabia hii itakugarimu wewe na chama maana inawezekana unayembeza na kumtukana wanaccm wakaamua apeperushe bendera ya chama, unadhani utapata nguvu ya kumnadi? Mfano juzi umesema lowassa hana sifa za kuteuliwa na chama hivi ni sahihi wewe kusema? Je? Katiba ya CCM imekupa mamlaka ya kuteua wagombea mwenyewe?.

Ushauri.
Tumia muda mwingi kuimarisha wanachama wako kuliko kuwaponda kama wanakosea tumia vikao vya ndani ya chama.

Shauriana na viongozi wenzako mkubali kuwaruhusu watu wajitokeze ili wajulikane mapema kuliko kuwafungia wakati ukawa wapo kazini muda wote.

Muda huu si wa kugombana ni wakushikana.

Asante.

Kama wewe si Nape itoshe kusoma na kukaa kimia maana hayakuhusu.
 
Jamaa hawa wa CCM wameshakula wameshiba! ndo maana mkuu wao wanauwezo wa kumwambia hayakuhusu! Chama Cha Makuwadi!
 
Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM,nimeona nikushauri maana ninajua jukwaa hili ni rahisi kwako kupata ujumbe wangu.

Umekuwa na utamaduni wa kuwasema vibaya wanaotangaza nia ya kugombea urais au wanaonesha nia kupitia chama chako.

tabia hii itakugarimu wewe na chama maana inawezekana unayembeza na kumtukana wanaccm wakaamua apeperushe bendera ya chama, unadhani utapata nguvu ya kumnadi? Mfano juzi umesema lowassa hana sifa za kuteuliwa na chama hivi ni sahihi wewe kusema? Je? Katiba ya CCM imekupa mamlaka ya kuteua wagombea mwenyewe?.

Ushauri.
Tumia muda mwingi kuimarisha wanachama wako kuliko kuwaponda kama wanakosea tumia vikao vya ndani ya chama.

Shauriana na viongozi wenzako mkubali kuwaruhusu watu wajitokeze ili wajulikane mapema kuliko kuwafungia wakati ukawa wapo kazini muda wote.

Muda huu si wa kugombana ni wakushikana.

Asante.
"Kama wewe si Nape itoshe kusoma na kukaa kimia maana hayakuhusu.


"Kama wewe si Nape itoshe kusoma na kukaa kimia maana hayakuhusu"

Hujiamini wewe!! umekuja jamvini; A public forum; lakini hutaki watu watoe maoni!!! Basi bora ungemtafuta Nape ukanywe nae chai mafichoni umshauri huko huko!!
 
Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM,nimeona nikushauri maana ninajua jukwaa hili ni rahisi kwako kupata ujumbe wangu.

Umekuwa na utamaduni wa kuwasema vibaya wanaotangaza nia ya kugombea urais au wanaonesha nia kupitia chama chako.

tabia hii itakugarimu wewe na chama maana inawezekana unayembeza na kumtukana wanaccm wakaamua apeperushe bendera ya chama, unadhani utapata nguvu ya kumnadi? Mfano juzi umesema lowassa hana sifa za kuteuliwa na chama hivi ni sahihi wewe kusema? Je? Katiba ya CCM imekupa mamlaka ya kuteua wagombea mwenyewe?.

Ushauri.
Tumia muda mwingi kuimarisha wanachama wako kuliko kuwaponda kama wanakosea tumia vikao vya ndani ya chama.

Shauriana na viongozi wenzako mkubali kuwaruhusu watu wajitokeze ili wajulikane mapema kuliko kuwafungia wakati ukawa wapo kazini muda wote.

Muda huu si wa kugombana ni wakushikana.

Asante.

Kama wewe si Nape itoshe kusoma na kukaa kimia maana hayakuhusu.

We vipi lakini?
Kama hayatuhusu si ungeenda Lumumba?
 
Lowassa wa CCM na Lowassa wa Chadema walivyokuwa na sifa tofauti lakini mtu alikuwa yule yule mmoja.....
 
Back
Top Bottom