Kada maarufu wa CCM ndugu Nape Nnauye ameeleza kubaini kundi la watu waliojipanga ambao wanafanya kila jitahada ili kuhakikisha kuwa chama hicho kinasambaratika.
Nape alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari kwamba anawajua kwa majina watu hao wanaojitagidi kupandikiza fitina na kuwataka waache mara moja kufanya hivyo vinginevyo muda wowote atawataja kwa majina.
Source: Gazeti la Nipashe ukurasa wa tatu
Nape alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari kwamba anawajua kwa majina watu hao wanaojitagidi kupandikiza fitina na kuwataka waache mara moja kufanya hivyo vinginevyo muda wowote atawataja kwa majina.
Source: Gazeti la Nipashe ukurasa wa tatu