Nape kutangaza kugombea urais 2015

Nape kutangaza kugombea urais 2015

Atakuwa rais wa vichaa, wehu na wendawazimu huko mirembe
 
Mwigulu Savimbi amemtega, akitangaza nia tu, wanatoa ile video ambayo Festo Sanga alimrekodi akiwa anakula uroda na mke wa mtu guest house. Hiyo ndio silaha ya maangamizi ya TEAM SAVIMBI dhidi ya Nape, na yeye analijua hili kamwe hatathubutu kugombea uraisi. Ndio maana ameamua kuacha ndoa yake na kuzunguka nchi nzima na Jangili Kinana ajikusanyie tuposho twa kutosha asife na njaa kuanzia mwakani
 
...urais sasa umekuwa kama pombe kila mlevi anahuitaji...bado Lusinde...
 
Mwigulu Savimbi amemtega, akitangaza nia tu, wanatoa ile video ambayo Festo Sanga alimrekodi akiwa anakula uroda na mke wa mtu guest house. Hiyo ndio silaha ya maangamizi ya TEAM SAVIMBI dhidi ya Nape, na yeye analijua hili kamwe hatathubutu kugombea uraisi. Ndio maana ameamua kuacha ndoa yake na kuzunguka nchi nzima na Jangili Kinana ajikusanyie tuposho twa kutosha asife na njaa kuanzia mwakani

Toa data mkuu
 
kama nape kishatangaza,bado maji marefu,habari ya degree butimba zipo amuulize nape.
 
Du....kweli nimeamini Bwana yesu anarudi maana yaliyotabiriwa yote yametia hadi sasa yameanza kuzuka na mengine yasiyotabiriwa kama hili la Nape na urais.
 
Chipanga it's true... Tatizo la zitto pamoja na kwamba he is smart lakini anajifanya anajua kila kitu... Msalani lema tenaaa ???,nangale maji marefu kaka basi mgombea mwenza atakua Lusinde mzee wa kudadadekiii maana naskia kakataliwa ugeni Rasmi mahafali ya form four jimboni kwake bodi ya shule inadai mbunge ni la saba Shardcole nadhani bwana yesu sasaa anarudi maana yanayoendelea nchi hii sasa ni mazingaombwe....!!
 
Last edited by a moderator:
Bado kuna uwezekano mkubwa wa CCM kutoa rais ajaye bila ya kujalisha Nani atasimamishwa na chama mwakani, kwani vijijini, CCM itapita tu hata Kama itaweka tofali la kuchoma Kama mgombea urais. Inasikitisha sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nape pengine achaguliwe na familia yake. Ubungo ilimshinda ni urais. Namshauri akagombee kwenye familia yao atapata kura za sunami.

Mkuu

Udhaifu wa taasisi ya U-Rais chini ya JK umefanya hata mm niamini naweza kuwa Rais wa TZ!

Zaidi ya kuiambia HAZINA itenge mabilion ya safari Rais JK lini kakaa Magogoni ajitahidi kutatua matatizo ya nchi hii?

Nani atashindwa kila mwisho wa mwezi kwenda USA kushikana mikono na celebrities?
 
Back
Top Bottom