TZ TUSIANGAMIE
Member
- Jan 4, 2014
- 60
- 31
Habari za uhakika ni kwamba Nape Moses Nnauye atatangaza muda wowote kuanzia mwezi ujao dhamira yake ya kugombea urais 2015 baada ya Vijana wengine kujitokeza ndani ya chama hicho Kama ambavyo nayeye alivyo na haki yake ya msingi, nia na madhumuni ni kuvunja kabisa nguvu ya Vijana waliojitokeza kwa dhana ya kwamba kichama yeye ni bosi wao hao Vijana wote na ni mjumbe wa kamati kuu ya ccm....sina hakika lengo lake ni kumsaidia mgombea gani AMA pengine anaamini upepo unaweza geuka ikawa ni Rais kijana na yeye akachukua nchi hii,Kazi ipo CCM.