Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Nape tunashukuru sana kwa kuja hapa JF, tunajua una kazi nyingi ila mtindo wako wa kuweka bandiko hapa na kukimbia sio fresh, hapa JF ukiweka bandiko lazima ulitetee, sio lazima ujibizane au ujibu watu /post zenye jazba au matusi.
Kuna post nyingi tu zenye hoja.
Hapa sio sawa na facebook, kule wamejaa watoto wa wakubwa na rafiki zako ambao siku zote watakusifia ila humu ndani hatusifii kila kitu , ukipiga kazi lazima tukusifie ila ukiharibu hatukuachi, kwa hiyo ukianzisha mada au thread usiikimbie hapa.
Amani iwe nawe:
Saint Ivuga @Mbagala kipati
Kuna post nyingi tu zenye hoja.
Hapa sio sawa na facebook, kule wamejaa watoto wa wakubwa na rafiki zako ambao siku zote watakusifia ila humu ndani hatusifii kila kitu , ukipiga kazi lazima tukusifie ila ukiharibu hatukuachi, kwa hiyo ukianzisha mada au thread usiikimbie hapa.
Amani iwe nawe:
Saint Ivuga @Mbagala kipati