Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Nimekuwa nikufuatilia kwa karibu sana mijadala mingi sana kuhusu wanasiasa wetu hapa Nchini, lakini kitu kikubwa nilichokiona ni kwamba wanasiasa hawa watatu kwa sasa hvi ndiyo wanaoongoza kwa kuwa na watu wanaowaunga mkono na hapo hapo wanaowapinga kwa nguvu zao zote.
Hawa ni wanasiasa wenye mvuto kutokana na jinsi wanavyojenga hoja zao ndani ya Bunge na nje Bunge. Kwangu mimi hawa ni vilongola kwa kizazi kipya cha wanasiasa hapa nchini kwetu Tanzania. Wapo wanasiasa wengine vijana lakini umaarufu wao hautokani na ujengaji wao wa hoja bali unatokana na mambo mengine kabisa wanayoyafanya yasiyohusiana na siasa, kama vile Vicky Kamata na Godbless Lema.
Kwangu mimi Nape Nnauye, January Makamba, Khalima Mdee na Zitto Kabwe ni kizazi kijacho cha wanasiasa!!
Hawa ni wanasiasa wenye mvuto kutokana na jinsi wanavyojenga hoja zao ndani ya Bunge na nje Bunge. Kwangu mimi hawa ni vilongola kwa kizazi kipya cha wanasiasa hapa nchini kwetu Tanzania. Wapo wanasiasa wengine vijana lakini umaarufu wao hautokani na ujengaji wao wa hoja bali unatokana na mambo mengine kabisa wanayoyafanya yasiyohusiana na siasa, kama vile Vicky Kamata na Godbless Lema.
Kwangu mimi Nape Nnauye, January Makamba, Khalima Mdee na Zitto Kabwe ni kizazi kijacho cha wanasiasa!!