DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,961
Kwahiyo kutishiwa risasi ni hadhi?? Acha ku expose uwezowako finyuDomo lako halina hata hadhi ya risasi moja ya umma.
Kwahiyo kutishiwa risasi ni hadhi?? Acha ku expose uwezowako finyuDomo lako halina hata hadhi ya risasi moja ya umma.
Tangu umejifunza kukariri vijimaneno vya kizungu umekuwa hukamatiki.Good faith
Huwezi kunielewa kwa sasa, hadi uache kulamba viatu vya "mabosi" na kuelewa ni yapi mapenzi ya Mungu na nini sababu ya wewe kuwa duniani,Kwahiyo kutishiwa risasi ni hadhi?? Acha ku expose uwezowako finyu
aisee mungu anatuonaBaada ya serikali kupigwa chini sakata la makinikia,sasa imekuja na kampeni ya ku-confuse akili za watanzania,kuwavuruga wasijue haya mambo yameishaje
Bora nape alikaa pembeni,nina uhakika atashuhudia anguko kubwa la utawala
Siku hizi ana jifanya upinzani ni marafiki zake hasa Chadema.Nape Kaka yangu jiandae kukatwa 2020.Mwenyekiti lazima awashughulikie so jiandae kukaa kijiweni another 5 years.Najichekesha mwenyeww
Elezea kidogo SERIKALI imeshindwa vipi swala la makinikia?Baada ya serikali kupigwa chini sakata la makinikia,sasa imekuja na kampeni ya ku-confuse akili za watanzania,kuwavuruga wasijue haya mambo yameishaje
Bora nape alikaa pembeni,nina uhakika atashuhudia anguko kubwa la utawala
Nani alikutaka?zaid ya wewe kujitaka na kujipa kazi kubwa na ngumu sana ya kupinga?yani SERIKALI isifanye kitu kisa kikundi flani kitakuja kupinga tena kwa maslai yanayoongozwa na CHUKI zao binafsi?Hukuna jipya chini ya jua! Lakini mbona mlitaka tushangilie kulikuwa na jipya lipi?
Mikataba mingap hapa Tanzania inasimamiwa na MIGA?Pole sana MIGA siyo court ni marithiano yaliyoingia Tanzania na dunia ya matajiri.Alichosema Lissu kabla ya kufanya blunder tunitoe kwenye umoja huo ili tumalizane hao ndani kimyakimya.Baadala ya kumuuliza mnataka kumuua.Ila siku mkishtuka mmechelewa sana
Hahahaaaaa,,,,,,,,,simshindi mkulu wenu kwa broken languageTangu umejifunza kukariri vijimaneno vya kizungu umekuwa hukamatiki.
Mmepata hayo matrillion??Elezea kidogo SERIKALI imeshindwa vipi swala la makinikia?