Not necessarily, yule kwao ni mtoto, atapita hata akiwa ACT maana CDM hawezi kuja.Nape Kaka yangu jiandae kukatwa 2020.Mwenyekiti lazima awashughulikie so jiandae kukaa kijiweni another 5 years.Najichekesha mwenyeww
Anamsema yule asiyetaka kukosolewaWe unafikiri hapa Nape Nauye alikuwa anamlenga nani eti?
Nimeikuta huko IG Leo katika alakati zangu za kuperuzi insta..
View attachment 614435
Hatujapata. Vipi Tanzania iliingia kwenye majadiliano ya kupata matilion tu?kama jibu ndio haya makubaliano mengine yametoka wapi na je ni hasara au faida kwa taifa?Mmepata hayo matrillion??
Hayo makubaliano mengine ni hayo maigizo na ngonjera in reality tumepoteza shauri ya ujuaji na unafiki wa watu wachacheHatujapata. Vipi Tanzania iliingia kwenye majadiliano ya kupata matilion tu?kama jibu ndio haya makubaliano mengine yametoka wapi na je ni hasara au faida kwa taifa?
Mbona unapiga ramli?coz hata swala la deni halijaisha ingawa unasema tumepoteza. Haya nayo unasema ni maigizo. Hivi hizi ramli zinatofaut na zile za TUTASHITAKIWA mara MIGA mara hawawez kuja kujadl ujinga mara majadiliano yamevunjika?TUKISEMA BAVICHA sikuiz mmegeuka wapiga ramli tunakosea?Hayo makubaliano mengine ni hayo maigizo na ngonjera in reality tumepoteza shauri ya ujuaji na unafiki wa watu wachache
Maelezo yako yanaonesha wewe ni mmojawapo wa wanaotaka tusifie!Nani alikutaka?zaid ya wewe kujitaka na kujipa kazi kubwa na ngumu sana ya kupinga?yani SERIKALI isifanye kitu kisa kikundi flani kitakuja kupinga tena kwa maslai yanayoongozwa na CHUKI zao binafsi?
Hahahaha bashite anakula pipi