Tuache unafiki na chuki maana hivyo haviwezi kutufikisha popote zaidi ya kuliangamiza taifa letu.
Waraka hauna maana yoyote zaidi ya kuchochea chuki ndani ya jamii, TEC wamekosea sana kwa kusukumwa na mihemko na hisia binafsi bila kujali masilahi ya nchi.
Waraka hauna maana yoyote zaidi ya kuchochea chuki ndani ya jamii, TEC wamekosea sana kwa kusukumwa na mihemko na hisia binafsi bila kujali masilahi ya nchi.


