Nape, huwezi kushindana na TEC

Nape, huwezi kushindana na TEC

Mitaani wanaishi watu wote bila kujali imani zao na wengi tunaishi vizuri kwa upendo kwenye nyumba za kupanga ila ukitaka kuabudu kuna maeneo maalum kama kanisa na misikitini
Kwa hiyo mitaani watu hawaruhusiwi kusali kwa vikundi bila kumbugudhi wale wa imani nyingine na wasio kuwa na imani kabisa?
 
Kwa sababu ya upeo wako wa akili ndio unapokufikisha kufikiria.
Hiyo bandari mimi haina msaada wowote kwangu hata kama wakiuza sawa tuu ila ukweli usemwe mtu mweusi ni mtumwa na sisi wazee wetu wakina chief mangungo walisha piga pesa nyingi sana kupitia mikataba ya hivi na wakauza weusi wenzao watumwa kwa waarabu na wazungu na kama mimi ninavyojua asili na hulka ya mtu mweusi ni bora zaidi mkataba umesainiwa na waarabu wapewe chao kwasababu mtu mweusi ni mtumwa popote duniani kazi ya mtu mweusi ni kula sumu ugali akijua ni chakula
 
Ungananao tu haina shida lakini ndio hivo tena tayari hiyo Bandari ndio imeenda
Mkuu kama wewe ni mtanganyika hauwezi kukubaliana na vipengele cha kwenye huo mkataba. Tuweke masiala ya imani pembeni twende kwenye uhalisia mkuu
 
Mwisho wa yote DPW watasepa tu.
Hakuna mkataba utakaopitishwa Tanzania ni zaidi tuijuavyo.
Kimkakati ni eneo la kiusalama zaidi kwa Umoja wa Mataifa dhidi ya Umamluki mwingi tu unaoendelea duniani kote.
Kama wakubwa wameona DPW haifai basi tujue tu haitapata hiyo fursa.
Achilia mbali uhovyo wa vipengele vya mkataba husika.
Uwekezaji unahitajika na Kuna makampuni mengi tu duniani yanaweza Kuja Tanzania kuwekeza kwa masharti na vigezo vyenye faida pande zote.
Wenye mamlaka zaidi wako na wananchi.
 
Hiyo kauli kuwa Romani katoliki wananzia mtaani kwenye kigango ndiyo ilisababisha mauaji ya kimbari huko rwanda jeshi la polisi liwakamate hawa watu wa askofu ni hatari sana kwa kauli hizi watu weusi watauana tena kisa dini zao
Acha tuuane kwa sababu ili ukombozi upatikane lazima damu imwagike,yesu mwenyewe ili kuokoa jahazi alitolewa kafara ili mimi nawewe tuokolewe.jifunzeni kwa kenya,mkate ukipanda bei wana andamana, kwa mkwara raila alio utoa kwa barozi wa marekani,kiongoz gan hapa tz anaweza??. KATIBA MPYA NI MUHIMU TANZANIA
 
Idiocy....

Mh.Nape yuko sahihi.....


Maslahi ya nchi yako juu ya IMANI ZA ROHONI ZA WATU.....

DINI YA DOLA LETU NI AMANI ,UTULIVU NA USTAWI

#SiempreJMT
Yale Yale ya msichanganye dini na siasa uzuri Askofu Shoo Leo kampa za uso

Imani za rohoni my foot😕
 
Nape ni Mkatoliki ....
Juu kule nilimuuliza dogo khs rc wote wanaunga mkono waraka nikajibiwa hamna mkatoliki mpumbavu,hii comment yako ndio inaonyesha ni namna gani kuna watu wanaona kile wanachokiamini wao basi kila mtua anakiamini
 
Mitaani wanaishi watu wote bila kujali imani zao na wengi tunaishi vizuri kwa upendo kwenye nyumba za kupanga ila ukitaka kuabudu kuna maeneo maalum kama kanisa na misikitini
Tumekuwa tukisali Jumuiya kila siku ya Jumamosi zaidi ya miaka 30,na tunasali kwa kuzunguka kutoka nyumbani kwa muumini mmoja kwenda kwa mwingine katika eneo hilo.Hii ilipelekea hata KKKT kuiga huu utaratibu.Huu utaratibu upo na hakuna shida,pengine wewe tu ndiyo huufahamu.
 
Back
Top Bottom