Nape deserves an oscar for this brilliant performance

Nape deserves an oscar for this brilliant performance

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,176
nec12.jpg


nec13.jpg
 
Bwanamdogo chunga sana huyo mzee hua hapewi mikono hovyo ataku mwakyembe...shauri yako
 
Naona hadi wajumbe wengine nyuma wanaikodolea macho hii muvi, good..!
 
Hiyo picha ya kwanza,mbona kama sumaye bin zero anamkwepa nape? Siasa bana,yaani drama kushinda ndoa!
 
Mtoto kwa Baba hukui, hao ndio walezi wake. Heshima kwanza ni muhimu.
 
Hii kama movie ya hollywood kabisa' Lakini nadhani igizo linaendelea
 
Duh, picha ya kwanza utadhani Kingunge amemuona mtoa roho Israil.
 
Back
Top Bottom