Nape, kwanza pole kwa kuwa misquoted, kwa position yako, kuwa misquoted kwa makusudi au kwa bahati mbaya, ni jambo la kawaida, na lazima ulikubali na kulizoea, ambapo kwa social forums zote uzushi pia upo kutokana na viwango tofauti vya uelewa kati ya mtu na mtu. Dawa ya uzushi sio tuu kuukanusha, bali kuurekebisha, just put things right na straight, kwa kueleza ulichomaanisha ili kuudefeat huo uzushi.
Hili la kuwa blocked mimi limenistua, sio kwa sababu halipo, bali siamini kuna kitu kama hicho jf. Nijuavyo mimi, wanaokuwa blocked ni wale ambao officially wamekuwa banned na sababu za ban zao hutolewa, hili la members kuwa blocked, ndio nalisikia kwako, na kama ni kweli linafanyika, its not fair, na inatubidi siye wengine tuanze kuiangalia jf kwa jicho pembe.
Komandoo, haya ulioyasema ni kweli au? Kama ni hivyo chuo cha nini basi? Watazalisha vijana wa namna gani?huko ndo saizi yake na ndo kwenye vibaraka wake huko. Chuo chenyewe kinatoa dgree za ajabu sana zinatambulika qatari, omani,saud arabia na afghanistani tu.
WANAOTAKA KUJUA nilisema nini chuo cha kiislamu Morogoro,asome post ya Achebe ya mwanzo yenye kichwa cha habari....bajeti imelenga kutatua kero za elimu ya juu... Hata kama si yote ameyaandika Achebe lakini hiyo ni standard..
Kuhusu eti nimetembelea chuo cha kwasababu ni cha kiislamu, nadhani hawakuona nilipokutana na wanafunzi wa Udom na Tumaini Iringa.
bajeti imelenga kutatua kero za elimu ya juu:nape
katibu wa halmashauri kuu ya taifa ya ccm itikadi na uenezi nape nnauye amesema bajeti ya mwaka 2011/2012 imelenga kutatua kero zilizojitokeza kwenye elimu ya juu .
Aliyasema hayo mjini morogoro wakati akizungumza na wanafunzi wa elimu ya juu wa vyuo vikuu vya morogoro kwenye mahafali ya kuwaaga makada wa ccm waliokuwa wakisoma kwenye chuo kikuu cha kiisilamu cha mjini morogoro.
Akitolea mfano uamuzi wa serikali kutoza kodi ya kukuza ujuzi(skills development levy), ambayo kwa bajeti ya 2011/2012 mgawanyo wake umelenga kupeleka asilimia 4% kati ya 6% ya kodi hiyo kwenye bodi ya mikopo na hivyo kuongeza uwezo wa bodi kuhudumia wanafunzi.
mwaka jana kodi hii ilikusanya karibu bilioni 200, na huwa inaongezeka kadri uchumi unavyokua, mategemeo kwa mwaka huu wa fedha pesa hii itaongezeka hivyo kutenga aslilimia hiyo itasaidia sana kwenye kutatua tatizo la mikopo kwa elimu ya juualisema nape
akawataka wanafunzi wawapuuze wanaopita na kusema hakuna kilichofanyika huku wakijua wazi kuwa kila mwaka hatua kubwa tu inapigwa katika kushughulikia kero mbalimbali za wananchi.
kumekuwa na maneno mengi juu utaratibu wa kutoa mikopo na uendeshaji wa bodi yake, lakini rais kwa kulitambua hili ameunda tume ya kuangalia namna bora ya kushughulika na hili la bodi, tume ikikamilisha, na hili ongezeko la pesa bila shaka changamoto nyingi zitapungua alisema nape.
Nape aligawa vyeti vya kuhitimu kwa makada 65 wa chuo hicho na kupewa taarifa ya chama ya tawi hilo. Alipokelewa mkoani morogoro na viongozi wa ccm mkoa huo wakiongozwa na mwenyekiti wa ccm mkoa huo ndg. Petro kingu.
CDM oyeeee!!!! Endeleeni kutukana kwani mnaulinzi wa kutosha.Wanakushika makalio , thats why hujui tathmini ya vyuo + elimu pia !
huko ndo saizi yake na ndo kwenye vibaraka wake huko. Chuo chenyewe kinatoa dgree za ajabu sana zinatambulika qatari, omani,saud arabia na afghanistani tu.
huko ndo saizi yake na ndo kwenye vibaraka wake huko. Chuo chenyewe kinatoa dgree za ajabu sana zinatambulika qatari, omani,saud arabia na afghanistani tu.
ultaka kiwe kijijni kwenu? Inaonekana hujasoma wewe? Kua critical acha usha ushamba.hivi hiki chuo kipo kweli?
baki kwenye mada ..mambo ya ukafiri yametoka wapi? nadhani inferiority complex inakusumbua ndiyo maana unaita wenzako makafiri ili ujifariji kidogo!! hizi dini zinazotuchanganya mbona tumeletewa na wageni tu!digrii ni digrii tu hata kama inatambulika samunge peke yake.chuki zako za kisiasa zimekupofusha,angalia usianguke.aah vipi wewe kwa hiyo kiongozi akizungumza na wanafunzi wa Tumaini, sawa.Lakini akifika morogoro...............hii nchi yetu sote jamani.acha mawazo ya kale .watu wamesoma sana siku hizi na wanajua kinachoendelea.acha chuki.au kafiri nini?