Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Wee jamaa ni *^%&@* Sanaaaaa na tena saaana tu....
Huwezi kuja na pumba kali namna hii na ufikiri tutakuacha uheme kama Samaki ndani ya maji.
Tutakuchomoa kutoka huko uliko na tukuanike wazi. Watu kama nyie mnatuharibia hii JF.
Mods, hebu kifungieni hiki kimtu na IP yake iwekwe kwenye uangalizi kiasi kwamba akijiunga tena, anakula BAN palepale...
Na wewe Nauye JR, si ungelikuja kuandika hapa kuwa hukusema na siyo kufungua thread nyingine?
Hivi huko India ulienda kweli kusoma au ilikuwa ni kula na kulala na mwisho wakakupa cheti - Vyeti vya CCM?
You can do it better then. Njoo hapa moja kwa moja na ujibu. Umekuwa na tabia ya kukimbia watu....
Nashukuru kuwa umegundua kuwa sisi tunafahamu kuwa umefahamu kwamba ulipokuwa Rukwa, ulihutubia vitoto.
Wee mtu na ukubwa ndani ya chama unapata vitoto tu na unaishia kutugaiwa pipi? Kweli wastahili kuwa na watoto.
Huwezi kuja na pumba kali namna hii na ufikiri tutakuacha uheme kama Samaki ndani ya maji.
Tutakuchomoa kutoka huko uliko na tukuanike wazi. Watu kama nyie mnatuharibia hii JF.
Mods, hebu kifungieni hiki kimtu na IP yake iwekwe kwenye uangalizi kiasi kwamba akijiunga tena, anakula BAN palepale...
Na wewe Nauye JR, si ungelikuja kuandika hapa kuwa hukusema na siyo kufungua thread nyingine?
Hivi huko India ulienda kweli kusoma au ilikuwa ni kula na kulala na mwisho wakakupa cheti - Vyeti vya CCM?
You can do it better then. Njoo hapa moja kwa moja na ujibu. Umekuwa na tabia ya kukimbia watu....
Nashukuru kuwa umegundua kuwa sisi tunafahamu kuwa umefahamu kwamba ulipokuwa Rukwa, ulihutubia vitoto.
Wee mtu na ukubwa ndani ya chama unapata vitoto tu na unaishia kutugaiwa pipi? Kweli wastahili kuwa na watoto.