Nape azomewa mkutanoni Kasulu

Nape azomewa mkutanoni Kasulu

now i understand why TUMAINI divorced him! nonsense!
 
Anaanza kujibu suala la Mafisadi na siku 90,

Nape amesema yeye hakusema siku 90 walioandika ni waandishi wa habari, hatua walizochukua ni kuvunja kamati kuu na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa wanatoka kila wilaya, wananchi wanamzomea hapa vp mafisadiiiiiiiii?

Kimsingi hakuna anachokijibu hapa anarukaruka tu anasema wameanzisha utaratibu wa Chama kusimamia serikali.
 
1. Swali la kwanza kuna mzee kauliza umetuambia kuwa mmefufua reli ya Kigoma nani aliyeiua?

2. Siku 90 ulizotoa kwa watu kuvua magamba hazijaisha?

3. Kila siku mnatangaza kwa Tanzania nzima eti Kigoma mmeibadilisha mbona sisi Kasulu hatuoni?

4. Kuna mtu anasema hatumtaki DC, Umesema ww ndio bosi wa hawa watu tunakuomba uondoke naye?

5. Kulingana na hotuba uliyotoa unaonyesha hamko tayari kutoka madarakani huoni kama nyie ndio mtaleta machafuko ktk nchi hii.
Majibu yanafuata.

Hayo maswali atajibuje hahahaaa
 
1. Swali la kwanza kuna mzee kauliza umetuambia kuwa mmefufua reli ya Kigoma nani aliyeiua?

2. Siku 90 ulizotoa kwa watu kuvua magamba hazijaisha?

3. Kila siku mnatangaza kwa Tanzania nzima eti Kigoma mmeibadilisha mbona sisi Kasulu hatuoni?

4. Kuna mtu anasema hatumtaki DC, Umesema ww ndio bosi wa hawa watu tunakuomba uondoke naye?

5. Kulingana na hotuba uliyotoa unaonyesha hamko tayari kutoka madarakani huoni kama nyie ndio mtaleta machafuko ktk nchi hii.
Majibu yanafuata.
joe5 Waha hawana mchezo.
 
Last edited by a moderator:
Kweli nape ni kilaza anasema watu hawakuelewa maana ya kuvua gamba, anasema wamefukuza wakandarasi, wamefukuza na mwisho anamtamka Rostamu
 
Kwa sbb anajua Kigoma wanampenda ZZK anasema angalia Zitto anavyobaguliwa CDM, angalia Chadema walivyomfanya Wangwe hawa watu hawafai kwenda Ikulu.
 
Anaanza kujibu suala la Mafisadi na siku 90,

Nape amesema yeye hakusema siku 90 walioandika ni waandishi wa habari, hatua walizochukua ni kuvunja kamati kuu na wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa wanatoka kila wilaya, wananchi wanamzomea hapa vp mafisadiiiiiiiii?

Kimsingi hakuna anachokijibu hapa anarukaruka tu anasema wameanzisha utaratibu wa Chama kusimamia serikali.

Lete updates ya swali kuua reli?
 
Hhehehhehe sasa huku ni unafki wanajidai hawapendi ccm halafu walienda kufanya nn kama sio sitaki nataka hhehehhe yangoswe muachie ngoswe
 
Jamani hawa watu wa CCM ni mat....a....a.....hira huyu mbunge analalamika eti wananchi wamsamehe kama kuna vitu hakuvifanya zamani sasa kwa vile yuko nje anayaona matatizo ya wanaKasulu na sasa akirudi atashughulikia vizuri.

ccm imejaa vilaza
 
Hhehehhehe sasa huku ni unafki wanajidai hawapendi ccm halafu walienda kufanya nn kama sio sitaki nataka hhehehhe yangoswe muachie ngoswe

Kwenda kwenye mkutano si kupenda CCM...walikwenda kupata Habari..na kusikiliza sera, bahati mbaya wamekutana na matusi na kashfa za Nape.
 
Hhehehhehe sasa huku ni unafki wanajidai hawapendi ccm halafu walienda kufanya nn kama sio sitaki nataka hhehehhe yangoswe muachie ngoswe
Wameenda kusuta uongo na unafiki.

Mpaka Nape ajirekebishe na kurudi kwenye siasa za kiungwana.
 
Kwenye mkutano wa hadhara hapa wilayani Kasulu, wakati anaendelea kuongea anasema eti miradi yote ya maendeleo iliyotakiwa kufanyika wilayani hapa Mbunge wenu ni kikwazo kwasababu anapinga kila kitu bungeni.

Baada ya hapo akatamka eti tuliahidi na tumetekeleza ghafula umati wa watu ukalipuka na kuanza kumzomea.

Mpaka sasa anatamani ashuke jukwaani anasema eti hata kama mtanuna nitawagawia vidonge japo vichungu lkn mtameza ule mtindo wake wa kusema sentesi na kuacha wananchi wamalizie hauna chake hapa akisema CCM oyeeeeee watu kimyaaaaa.
Si alisema watu wakimzomea atawatia makofi. Vipi huko hajawatia makofi?
 
1. Swali la kwanza kuna mzee kauliza umetuambia kuwa mmefufua reli ya Kigoma nani aliyeiua?

2. Siku 90 ulizotoa kwa watu kuvua magamba hazijaisha?

3. Kila siku mnatangaza kwa Tanzania nzima eti Kigoma mmeibadilisha mbona sisi Kasulu hatuoni?

4. Kuna mtu anasema hatumtaki DC, Umesema ww ndio bosi wa hawa watu tunakuomba uondoke naye?

5. Kulingana na hotuba uliyotoa unaonyesha hamko tayari kutoka madarakani huoni kama nyie ndio mtaleta machafuko ktk nchi hii.
Majibu yanafuata.

hayo maswali ni mazito ,namuonea huruma Nape
 
Back
Top Bottom