Nape azomewa mkutanoni Kasulu

Kwenye mkutano wa hadhara hapa wilayani Kasulu, wakati anaendelea kuongea anasema eti miradi yote ya maendeleo iliyotakiwa kufanyika wilayani hapa Mbunge wenu ni kikwazo kwasababu anapinga kila kitu bungeni.

Baada ya hapo akatamka eti tuliahidi na tumetekeleza ghafula umati wa watu ukalipuka na kuanza kumzomea.

Mpaka sasa anatamani ashuke jukwaani anasema eti hata kama mtanuna nitawagawia vidonge japo vichungu lkn mtameza ule mtindo wake wa kusema sentesi na kuacha wananchi wamalizie hauna chake hapa akisema CCM oyeeeeee watu kimyaaaaa.

'maji-taka'...anajulikana kwa kunywa matapishi yake na siasa na 'bulicheka...'! Pambaaaaaaf as usual...
 
kumbe yeye ndio anawateua ma DC,huyu jamaa simpendi kama kifo.kijana mzima siasa zake za kizamani mmo.
 
kumbe yeye ndio anawateua ma DC,huyu jamaa simpendi kama kifo.kijana mzima siasa zake za kizamani mmo.

Nape ameondoka leo jioni hapa Kasulu mjini na kurudi Kigoma kwa aibu na amemwambia DC wakae na kamati nzima ya maendeleo wilaya wakae wajadiri ni nn wamewakosea watu waha wa Kigoma kwa ujumla.
 
naomba jibu la swali la 2 na lile la mwisho tafadhari

1. Amelijibu kwamba ni kweli reli iliuwawa na menejimenti mbovu ya TRL iliyokuwepo lkn kwa sasa wamemuweka Dk wa ukweli Mwakyembe watu wa Kigoma wajiandae kupata usafiri wa treni siku saba kwa wiki (hili halina tofauti na kigoma kuwa km Dubai)

5. Hilo la kuleta machafuko amelikwepa, amedai alisema hivyo kwa kujua kama wananchi hawawezi kukubali upinzani uingie Ikulu kwani bado wana imani na CCM.
 
1. Amelijibu kwamba ni kweli reli iliuwawa na menejimenti mbovu ya TRL iliyokuwepo lkn kwa sasa wamemuweka Dk wa ukweli Mwakyembe watu wa Kigoma wajiandae kupata usafiri wa treni siku saba kwa wiki (hili halina tofauti na kigoma kuwa km Dubai)

5. Hilo la kuleta machafuko amelikwepa, amedai alisema hivyo kwa kujua kama wananchi hawawezi kukubali upinzani uingie Ikulu kwani bado wana imani na CCM.
Anaficha ukweli wa matumizi ya PoliCCM.
 
Kwenye mkutano wa hadhara hapa wilayani Kasulu, wakati anaendelea kuongea anasema eti miradi yote ya maendeleo iliyotakiwa kufanyika wilayani hapa Mbunge wenu ni kikwazo kwasababu anapinga kila kitu bungeni.

Baada ya hapo akatamka eti tuliahidi na tumetekeleza ghafula umati wa watu ukalipuka na kuanza kumzomea.

Mpaka sasa anatamani ashuke jukwaani anasema eti hata kama mtanuna nitawagawia vidonge japo vichungu lkn mtameza ule mtindo wake wa kusema sentesi na kuacha wananchi wamalizie hauna chake hapa akisema CCM oyeeeeee watu kimyaaaaa.

295218_251628634858557_7776827_n.jpg


Kazi hiiimewashinda
 
Ngosha timu ya M4C iingie kumwaga sera, vumbi litatimka sana.
Du! Ila nimeona kule Nguruka wamepata wateja, maana walienda kutembelea mradi wa Dr. Magufuli pale daraja la Maragalasi. Pengine wanampigia Kampeni huyo jamaa na miradi yake ya barabara.
 
Back
Top Bottom