Nape azomewa, Kinana amshusha jukwaani

Nape azomewa, Kinana amshusha jukwaani

Nape ni mjinga sana anadhani watu wanaoenda kwenye mikutano ya CCM wanaenda kumsikiliza yeye,Kwa taarifa yake hao watu wanaenda kumsikiliza Kinana ambaye kidogo anajitambua,Vilevile hao si wana CCM tu wapo watu wanaenda kusikia hoja Na sio kuzungumzia VIROBA hiyo sio HOJA.Badilika kijana Nape unakula maharage gani yanayoendelea kukugeuza kuwa mpumbavu.
 
NAPE CHAMA CHAKE KIMEUA VIWANDA vyote nchi nzima alafu hajui kwa nini vijana wenzake wanashinda kwenye viroba na anadhani vijana wanafurahia hayo.Na alivyo mpumbavu akiona mkutano una nyomi anajua anaongea na Wajinga nadhani amejifunza sasa.
 
Mwaka huu zomeazomea mbona imeanza mapema sana
 
Kwanini wanazomea tu hawakwenda mbali zaidi?
Na mimi nilikuwa nawaza hivyo hivyo. Unajua viongozi wengi wa CCM wanadharau sana wananchi. Wengi wakipanda majukwaani wanaanza kuwashambulia wananchi kuwa wamekunywa viroba. Yaani wao wanataka kila mwananchi awe na mawazo kama yao na chama chao kitu ambacho hakiwezekani. Halafu wanasahau kuwa serikali inategemea viroba kupata kodi na yenyewe ndiyo imevipitisha vinywewe hivyo kama ni kunywa vasi ilianza serikali kwanza. Si ajabu hata gharama wanazotumia katika ziara yao zinatokana na viroba kwa CCM inapewa ruzuku na serikali ambayo ndiyo inayokusanya kodi mbali mbali zikiwemo za viroba hivyo kumdharau mnywa viroba ni kama kutoboa mtumbwi ulioupanda katikati ya bahari. Ni bahati mbaya chama kimempa nafasi mjinga kuwa ndiyo mwenezi wake
 
chaikavu

Hii source ya habari ina ugomvi na serikali iko bias inashambulia upande inaouchukia. Hata siku moja usiamini habari zao kichwakichwa.

Wewe tupatie ukweli wa jinsi ilivykuwa.alizomewa au hakuzomewa?
 
Last edited by a moderator:
Ukweli Mkuu mtu wa aina hiyo ni wazi dharau zilizochanganyika na jazba ndizo zinamsukuma kuropoka, vinginevyo alitakiwa akubali kuwa kwenye ule mkutano wapo pia wapenzi wa UKAWA na ndio ilikuwa nafasi yake kueleza sera ili awavute karibu, mwanasiasa bora ndicho anachofanya sio Nape na kupayuka.

Nape ni vuvuzela la lumumba
 
Huku ni kudanganyana fisadi mnaemwita ni lowassa na hadi dakika hii anakusanya watu kila kona sasa ni vema useme utamzomea na siyo mtamzomea, maana mwenzako kajipanga na sasa elewa hajawa mgombea rasmi akipitishwa akapewa na ulinzi imara kamwe hutasikia unachokiwaza! Nilitarajia wakati ni sasa mngedhihirisha hauziki na hafai lakini anaonekana ndiye lulu kuliko yeyote ndani ya ccm. Tuache ubishi wa hisia zenu na kina nape jamani

Kumbe mna uhakika kuwa yeye ndiye atakaye pitishwa?tunashukuru kwa taarifa mkuu!
 
This young man is like a mad dog and loves to bite anything it fancies and in the process portraying a bad image to the the mass. In my opinion in this era the party does not need his type of leadership i think he better join labor union where i think he fits there.

Kule kuna oluochi na mkoba,nape hawezi fit
 
Back
Top Bottom