Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,299
- 9,797
Tutasikia mengi sana
chaikavu
Hii source ya habari ina ugomvi na serikali iko bias inashambulia upande inaouchukia. Hata siku moja usiamini habari zao kichwakichwa.
ufafanuzi kwenye red hapo
Kwanini wanazomea tu hawakwenda mbali zaidi?
membe atajuta kumwachia huyo chizi jimbo
Hii zomea zomea itazidi maradufu ikiwa ccm watasimamaisha mgombea fisadi au galasa, vile vile zomea zomea hii itapungua ikiwa ccm itasimamisha mgombea anayekubalika kwa wananchi, anayeakisi kile wananchi wanapenda, alietayari kupambana na kile wanachukia
Akipatikana mgombea safi, akauzwa na watu safi, basi atasaidia sana kurudisha imani ya watanzania kwa ccm, na atasaidia sana kuuza wagombea wa udiwani na ubunge wa ccm. Otherwise, hali ni mbaya kwa ccm kuekea October
Huku ni kudanganyana fisadi mnaemwita ni lowassa na hadi dakika hii anakusanya watu kila kona sasa ni vema useme utamzomea na siyo mtamzomea, maana mwenzako kajipanga na sasa elewa hajawa mgombea rasmi akipitishwa akapewa na ulinzi imara kamwe hutasikia unachokiwaza! Nilitarajia wakati ni sasa mngedhihirisha hauziki na hafai lakini anaonekana ndiye lulu kuliko yeyote ndani ya ccm. Tuache ubishi wa hisia zenu na kina nape jamani
Kaandika ki-utu uzima na kifasihi sana.Ufafanuliwe nini tena hapo mzee wangu?ufafanuzi kwenye red hapo
vikundi vya uzomeaji viimarishwe ukawa hukaa nyuma ya mstari jezi za kijani unapoishia sasa kina zzk na ccm hudhani ni wana ccm wenzao wakianza tu roporopo wanazomewa