Nape azomewa, Kinana amshusha jukwaani

Nape azomewa, Kinana amshusha jukwaani

Inabidi mzee Kinana akiratibu safari zake Nape asinge tela wagawane mikoa kila mtu azurure peke yake ccm waone jinsi wanavyopoteza hela kumlipa huyu nape mshahara, huo mkutano angehudhuria yeye na kamati tendaji ya hilo eneo hata wananchi wanachama wa ccm wasingeenda kumsikiliza.

Akiwa nape pekee yake basi itabidi wamkabidhi na mafisi
 
Nape ajifunze kuongea. Wampe pia somo la hotuba. Kila anakokwenda kazi yake ni kuwananga wapinzani. Si vibaya kuwananga wapinzani lakini unapofikia mahali pa kuwaona wasikilizaji wako kuwa wamepewa viroba, ina maana ulikuwepo wakipewa, sasa weye ulifanya nini kuzuia?? Msiwafanye wote wanaowapinga kuwa ni walevi wa viroba.
Ukipendwa na kila mtu, upinzani utatoka wapi?? Ndo maana maccm yamelewa madaraka kiasi kwamba hayaamini kuwa kuna mtu anayeweza kuwapinga. Sivyo, upinzani si uadui, ni kukutoa tongotongo uone vizuri uendako.
 
Wangempiga Na Viatu Vyao Vya Mguu Wa Kushoto Kuonyesha Ishara Ya Kuepuka Laana Ya Mwanaharamu.
 
Nape ajifunze kuongea. Wampe pia somo la hotuba. Kila anakokwenda kazi yake ni kuwananga wapinzani. Si vibaya kuwananga wapinzani lakini unapofikia mahali pa kuwaona wasikilizaji wako kuwa wamepewa viroba, ina maana ulikuwepo wakipewa, sasa weye ulifanya nini kuzuia?? Msiwafanye wote wanaowapinga kuwa ni walevi wa viroba.
Ukipendwa na kila mtu, upinzani utatoka wapi?? Ndo maana maccm yamelewa madaraka kiasi kwamba hayaamini kuwa kuna mtu anayeweza kuwapinga. Sivyo, upinzani si uadui, ni kukutoa tongotongo uone vizuri uendako.

Chukua zangu tano mkuu
 
Maneno hayo Nape inaaminika kapewa na wale wenzake kaanza kichwa kichwa anadhani kwa kuwa UKAWA wako ndiyo kuisha .
 
Back
Top Bottom