Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Inabidi mzee Kinana akiratibu safari zake Nape asinge tela wagawane mikoa kila mtu azurure peke yake ccm waone jinsi wanavyopoteza hela kumlipa huyu nape mshahara, huo mkutano angehudhuria yeye na kamati tendaji ya hilo eneo hata wananchi wanachama wa ccm wasingeenda kumsikiliza.
Akiwa nape pekee yake basi itabidi wamkabidhi na mafisi