mjomba wa kale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 266
- 56
Waziri mkuu yupi tanzania alishawahi fukuzwa kazi! Historia haidanganyi, nyerere alishasema hafai ni mwizi, leo hii unataka kutuaminisha kuwa anafaa, kamjaribu kwenye biashara zako ila si kwa nchi
Mkapa alimuua nyerere???? Are u insanity????? Or u'r "unsound mind"???
Hivi unabishana nini?! We Lowassa awe msafi, asiwe msafi huna uwezo wa kubadili chochote! Maamuzi ya nani aongoze TZ yapo mikonon mwa watz na sio swala la kikund fulan kama "mapacha watatu" watuamulie watz milion 50!
Akiongea na MakutanoShow sasa hivi ameongelea kuhusu mgombea urais kupitia CCM baada ya kuulizwa kuhusu tuhuma za rushwa zinazohusishwa na mbio za urais.
Amesema hata kama mtu akijaza wapambe wake CC na NEC siyo kigezo cha kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa urahisi.
Alitoa mfano mara tatu kuhusu Lowassa kwamba siyo msafi na hata Nyerere alisema hivyo. Alisema kwamba siyo lazima kuwepo ushahidi bali kama watu wanaongea tu na kukuhisi inatosha kuthibitisha kwamba wewe siyo msafi.
Mtu yeyote anayetumia pesa kusaka madaraka ni kuogopwa kama Ukoma mpelekeni ujumbe huyu mchafu mwenzenu.ikulu siyo pango la mafisadi.sera za nyerere zilikuwa kwenye ujamaa tu na kumbukumbu zinaonesha kuwa sera zilimshinda hivyo akatoka madarakani tz ikiwa maskini kabisa nchi akawa inapelekwa kibepari sasa msimamo wa lowasa na ni ubepari ambao nyerere haujui kabisa hivyo bepari na mjamaa hawahivi kumbuka maneno ya nyerere ni fikra zake tu na zinazo mapungufu yake hivi hayana mashiko kisheria.
Sasa nimeanza kuamini juu ya mtumishi wa Mungu tb joshua kutabiri kuwa mmoja wapo wa mwanasiasa maarufu ataenda kuwa rais wa tano wa taifa hili. Tunachosubiri ni utabiri utimie kama Mungu aishivyo maana dalili zoote zinaonyesha ule utabiri ni wa kweli..
Usafi wake uko wapi fisadi mkubwa huyo .
na mavi mtajinyea mwaka huuWaziri mkuu yupi tanzania alishawahi fukuzwa kazi! Historia haidanganyi, nyerere alishasema hafai ni mwizi, leo hii unataka kutuaminisha kuwa anafaa, kamjaribu kwenye biashara zako ila si kwa nchi
nfio ni nora kwani uongo?hauwezi kuwa kiongozi bora kama wewe unajiona ni bora zaidi ya wale unaowaongoza,ilo ndo ttz la LOWASA anajiona yeye ndo bora kuliko wengine hata bila aibu anawafukuza wanachama wa chama chake kisa anajiona yeye ndo bora.kwa hali hiyo unajenga au unabomoa then unategemea chama kikupitishe kuwa mwenyekiti wa chama,hazimtoshi.
Kweli kabisa mkuuNape ni sawa na mbwa kibogoyo. Hang'ati. Amejaa unafiki mtupu. Hana uwezo wa kupambana na rais mtarajiwa wa Tanzania, Hon Edward Lowassa. 2015 ataumbuka sana huyo Nape.