kamatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 854
- 584
Hii habari imepostiwa saa 6 usiku kwa saa za bongo. Ulikuwa wapi kupost tangu muda wa tukio? Au mkutano ulivunjika usiku? Hii source siiamini kabisa]
sababu yako ya kuipinga hii source ni nyepesi mno au hujui kuwa kwa kuwaza kwenu kwa kutumia masaburi huko umeme umekuwa bidhaa adimu bongo?kuna sababu lukuki za kuchelewa kutuma post
sababu yako ya kuipinga hii source ni nyepesi mno au hujui kuwa kwa kuwaza kwenu kwa kutumia masaburi huko umeme umekuwa bidhaa adimu bongo?kuna sababu lukuki za kuchelewa kutuma post