Nape apata aibu Serengeti

Nape apata aibu Serengeti

Jana ndo niliamini Nape ni kilaza, alipopanda jukwaani pale uwanja wa right to play, Mugumu alianza kwa kujisifu kuwa kile kitambi chake amepata ndani ya miez nane alipoazimwa na serikali kuwa mkuu wa wilaya. Upupu mwingine alisema kuwa marehemu diwani Ryoba alikuwa kibaka tu na huyu Ryoba(CDM) naye ni kibaka, kitu kingine alichoropoka ni kuwa choo cha shule ya msingi kambarage hakitajengwa na watoto wa kata ya stendi kuu wataendelea kuwa wajinga kama wazazi wao walivyo wajinga. Jana ndio niliamini Nape ni kilaza kabisa na ulivyojichubua mdogowangu na ujinga uliomo kichwani lol... Ila jana umepata ulichotaka, unadhan wananchi wa pembezoni hawajaamka? Huku watu ni wajanja wanakula dona na hawajipaki carolyte. Kijambo ulichojamba jana mkutanoni kimekuonesha ulivyo kilaza na ni kweli jahazi lenu linazama. Kama viongoz wa kitaifa mnajipaka carolyte na ni vilaza magamba jipangeni upya. An empty bag wil not stand upright. RIP Magamba.
 
nape!
usikatae kabisa jana umezomewa hapa mugumu! ndomana umepost maramoja tu ukapotea!
kwataarifa yako niko hapa serengeti naninadhani ukweli wewe mwenyewe unwujua kuwa hampati kitu hapa
nenda igunga kama unataka ukashindane na chadema
sisi hatukutaki!
 
Jana ndo niliamini Nape ni kilaza, alipopanda jukwaani pale uwanja wa right to play, Mugumu alianza kwa kujisifu kuwa kile kitambi chake amepata ndani ya miez nane alipoazimwa na serikali kuwa mkuu wa wilaya............
Kile ni kitambi au mimba? vitambi vinajulikana kitambi gani kile kama kibuyu.
 
Lazima uvuliwe gamba Nape shituka mapema kabla jua halijazama.
 
Mkuu yule dogo ndo alitaka kushindana na JJ Mnyika, kwa siasa za kusifia mimba lol... Nape achana na siasa bora ufungue Salon. Na mwenyekiti wako Chandi 'duhu'. Ile kata imekula kwenu, unatukana wapiga kura!? Na unatukana marehemu!? We dogo una laana. Na hatuondoki hapa Mugumu mpaka kieleweke. Power will intoxicate the best hearts, as wine the strongest heads. Nape everydog has his day so be to Magamba on 2OCT
Kile ni kitambi au mimba? vitambi vinajulikana kitambi gani kile kama kibuyu.
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....

Nape, muda mwingi huwa ninakushangaa pale unapokuwa unajibu swali au unapojenga hoja. Hiyo reaction yako hapo haifanani na shule yako. Sasa iweje vyama ya upinzani viangamie eti kutokana na na memba wa JF kujifariji humu!! Sina dhamira ya kukushambulia bali nakumbuka baada ya wewe kuteuliwa kukamata hiyo nafasi uliyonayo, tuliambiwa kuwa Nape izi veri smat gayi. Sasa iweje utoe response yako kirejareja hivyo? Sasa kama wewe ndiyo smart, waliobaki watakuwa vipi? Hata hivyo tunaona mambo ya Nchemba Mwigulu huko Igunga.
 
Ndugu zangu,
Jamii Forum ni social platform yenye heshima sana. Ni sehemu ambayo watu tumezoea kupata mambo ya msingi sana ikiwa ni pamoja na mijadala yenye masilahi kwa Taifa letu.

Lakini kwa mtiririko wa sasa kwa baadhi ya watu kutupia tu habari ili mradi wawe hewani siku hiyo si jambo jema na wala halina afya kwa forum hii. Tabia hii tusipo ikemea mapema itapelekea forum hii kupata taswira ya udaku kitu ambacho binafsi nisingependa kamwe.

Ushauri wangu ni kwamba watu watumie majina yao halisi humu maana naamini itawasaidia kutafakari kabla ya kuandika chochote. Vinginevyo itakuwa ni udaku form kitu ambacho forum kubwa kama hii haitafanana nayo.

Kama huu uongo wa mchana kweupe kabisa eti Nnape kazomewa Serengeti.

Nawasilisha.

Kaka karibu jamvini, tunashukuru kwa kuamua kujiunga na JF wiki iliyopita ingawa uliijua JF muda mrefu.
Kutumia jina halisi si justification ya kuandika baada ya kufanya tathimini. Mfano halisi ni Nape Nnauye na hata wewe mwenyewe. Anayoandika Nape humu JF utashangaa na wakati mwingine unajiuliza kama huyu jamaa alienda shule. Na huyu ni kiongozi wa chama. Kuna watu walikuwepo wakati Nape anazomewa. Wewe unakuja kudai kuwa ni uongo wa mchana kweupe.
 
Nape ana radhi ya Makamba, alihakikishiwa kuwa kafungiwa dunian hadi mbinguni! Safari imeanza.
 
Sasa wewe Gambo unabisha nini? Mimi nilikuwepo na sijaona sura yako pale. Endeleeni na siasa za kizamani za kutisha wananchi jukwaani na kutishia kama Nape kuwa 'mtake msitake CCM itashinda' huku ni Mara jaribuni hyo kitu muone...
 
Hahaha kaka nape!!!!!!!!!!! Umejimaliza mwenyewe ndugu yangu huko.. Siku 90 zikowapi?? Mbwembwe na kelele zako kwa mafisadi zimeishia wapi??? Tunamaswali mengi sana ya kukuuliza tungeshukuru sana kama utaanzaa kuwa unatujibu
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
Mh. Nape yawezekana sana mnashine kwenye propaganda za majukwaani, lakini kweli mnaishi mnenavyo? Na je ni kweli viongozi wa sasa wa CCM mnaamini katika CCM?
Hizi ni baadhi ya ahadi za mwana CCM, ili kuwa mwanachama wa kweli huna budi kuishi katika ahadi hizi: -
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja. Kwa wasio wana CCM mnawaona kama ndugu zenu?
2. Ujamaa na kujitegemea ndio njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru. Nape mnaamini na kuishi ktk imani hii kweli? Mbona mabepari ndio egemeo kuu la chama? Tunayaona wazi wazi mfano, mmiliki wa SHIVACOM na michango yake kwa UVCCM then, sekta ya simu kuwa legelege ktk ulipaji wa kodi.
3. Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa. Kweli mnaishi ktk imani hii? Rejea Uchaguzi wa Wazazi na Wanawake Dodoma. Reference Malalamiko ya JK kuhusu chaguzi hizo.

Ukiongeza na kuporomoka kwa uchumi kunakotisha, hivi kweli Nape unaamini kuna mbinu ambayo hamkutumia huko nyuma mtakayotumia kurejesha matumaini yetu? Au Mnadhani kuipiga vita CDM wakati mkiwa madarakani ndio ufumbuzi wa matatizo yetu?
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....


NAPE how old are u by the way? u look so beautiful.
 
Ndo wajifunze kuongelea sera na si vinginevyo...ukisema chama cha wahuni kwani wahuni sio watu? Wamesahamu Mwalimu Nyerere alikwishawahi kusema kuwa "Iko siku watz wataamua kumwingiza mwendawazimu ikulu" kwa kuchoshwa na matendo ya viongozi waliowachagua. Sasa wacha wahuni wakae na wahuni wenzao na wezi wakae na wezi wao ila kila mmoja amweshimu mwenzie kwani kila mmoja anahaki ya kuongoza/kutawala.
 
katibu mwenezi kweli ktk nafsi yako ccm imeleta maendeleo au imeyaangamiza?ukweli ni kwamba hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kuithamini ccm labda awe mwizi ana kamrija ka ufisadi mahali fulani!wananchi,wanafunzi asubuhi wapo kwenye vibanda vya video kuangalia picha za kihindi,kisa sera mbovu za ccm ktk uwajibikaji.unajisikiaje unapotembelea v8 wakati muhimbili wagonjwa wanalala sakafuni?uchumi supermarket wanatangaza sukari kilo sh 2300 wakati mwenyekiti wako alitoa amri sukari sh 1700?
 
Basi kumbe Chadema ni Chama cha wahuni wapo kwa ajiri ya kuzomea tu! Nasikia Dr Slaa ana uwezo wa kuzomea kwa mda wa masaa 6!
 
Basi kumbe Chadema ni Chama cha wahuni wapo kwa ajiri ya kuzomea tu! Nasikia Dr Slaa ana uwezo wa kuzomea kwa mda wa masaa 6!
 
Nape ndg. Yangu kichama nakusihi ufunike kombe ktk hili la serengeti-mugumu...angalia ninakupenda sana ila kuligusa eneo hili ktk mtandao ni hatari sana kwako, kuna gurus wengi humu watakuvua nguo pasipo kupenda just bcoz unaendekeza malumbano yanayoidharirisha serengeti yao!! Hiki kitendo cha kukujua unabadili zako ni kukujulisha wanayo privacy yako yote electronically , hebu shindanisha maono yetu and let people compare us with cdm, kuwatuhumu,kuwatukana na kuwabeza cdm kunatutoa ktk line of duty which is to advocate our mafanikio,malengo na mikakati yetu; nchi na umma itupime ktk muono huo, si matusi,mabezo na kupakana matope ndani ya ccm na nje ya ccm. Nchi hii ni ya amani, tumeweza sana kulilinda hili lakini ccm unayoihubiri si ccm ile inayotaka tushindane kwa nguvu ya hoja na si nguvu ya hoja. Nape rudi ktk mstari, watanzania wanaitaka ccm imara kwa nguvu ya wastaarabu ni si ulaghai.
Kidumu chama cha mapinduzi
 
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....


Mkuu Nape una maoni gani juu ya uchaguzi wa zambia?unaonaje jinsi wananchi wenye hasira wanavyowatembezea kichapo wafuasi na viongozi waliopokonywa madaraka?
unaonaje siku mkipigwa chini hapa tanzania mtajificha wapi?kichapo mtakachochezea kitakuwa hakina mfano
je vile viwanja vyetu vya mipira mlivyotaifisha mtaendelea kuvishikilia?
mkuu mimi mwenyewe siku mnapigwa chini na watanzania nitakutafuta mahali popote kwa gharama yoyote ile!
 
Sikutegemea kabisa kuona hoja dhaifu ya kujitetea ya Nape, inaonekana kuna ukweli katika habari hii..
 
mwambie aangalie pofile picture yangu atapata majibu tehe tehe tehe tehe


Mh. Nape yawezekana sana mnashine kwenye propaganda za majukwaani, lakini kweli mnaishi mnenavyo? Na je ni kweli viongozi wa sasa wa CCM mnaamini katika CCM?
Hizi ni baadhi ya ahadi za mwana CCM, ili kuwa mwanachama wa kweli huna budi kuishi katika ahadi hizi: -
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja. Kwa wasio wana CCM mnawaona kama ndugu zenu?
2. Ujamaa na kujitegemea ndio njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru. Nape mnaamini na kuishi ktk imani hii kweli? Mbona mabepari ndio egemeo kuu la chama? Tunayaona wazi wazi mfano, mmiliki wa SHIVACOM na michango yake kwa UVCCM then, sekta ya simu kuwa legelege ktk ulipaji wa kodi.
3. Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa. Kweli mnaishi ktk imani hii? Rejea Uchaguzi wa Wazazi na Wanawake Dodoma. Reference Malalamiko ya JK kuhusu chaguzi hizo.

Ukiongeza na kuporomoka kwa uchumi kunakotisha, hivi kweli Nape unaamini kuna mbinu ambayo hamkutumia huko nyuma mtakayotumia kurejesha matumaini yetu? Au Mnadhani kuipiga vita CDM wakati mkiwa madarakani ndio ufumbuzi wa matatizo yetu?
 
Back
Top Bottom