Lowasa ni mnafiki mkubwa sana. Analiona tatizo hili baada ya kujiuzulu uwaziri mkuu?. Amekuwa madarakani muda mrefu sana kwanini alizungumzie leo hili suala?. Kwa hadhi na heshima anayopewa Lowasa ana sababu gani ya kwenda kuongelea hili suala makanisani ili hali anaweza kuwasiliana na viongozi husika na kuwaeleza?. Amekuwa Mbunge na waziri wa wizara tofauti muda mrefu sana, huyu kiumbe ni hatari kuliko mchawi. Hivi kwanini serikali haimkamati na kumweka rumande mnafiki huyu?.