Nape amezuiwa, ujumbe umewafikia

Nape amezuiwa, ujumbe umewafikia

Utaimba hayo hayo kila cku , wezi, wanafiki, mazuzu..mwisho wa safari workdone equals to ZERO!
...work done mnayofanya kwenye utawala wenu dhalimu ndio equals to ZERO...mtajibu mmewafanyia nini watanzania 2020...maana upofu na utapeli umewajaa....
 
Huyu Mtawala sasa anazidi kuota mapembe!! hata hili la kumtumbua Nape haoni kama litazidi kumpunguzia sifa za kuwa Kiongozi????
Ama kweli Sikio la Kufa Halisikii Dawa.

Nape Utabaki kuwa Shujaa.
 
Nikitoka, mtapataje mambo ya huku?

Mzee Tupatupa

Sidhani kama Nape Katumbuliwa, ukiisoma hiyo Barua ya Ikulu unaona kabisa Kabudi kaingia kuchukua Nafasi ya Mwakyembe na Mwakyembe kaenda kuchukua nafasi iliachwa wazi
 
...work done mnayofanya kwenye utawala wenu dhalimu ndio equals to ZERO...mtajibu mmewafanyia nini watanzania 2020...maana upofu na utapeli umewajaa....
Ni juha na mpu.mba.vu tu anaweza anza kufikiria ya 2020..
 
Hiyo lipoti akampe mjomba ake membe sasa,maana magu haitaki hata kuisikia.huwezi waziri ukaivua nguo serikali Unayoiongoza.
Alipaswa nape kumwita makonda na kumwambia ukweli juu ya busara za kuongoza wananchi.nasiyo kukimbilia kwenye vyombo vya habari just ndana na makonda

Mtazamo wangu unaonyesha majina Yale ya makonda kabla hajayataja yalipata Baraka zote kutoka ikulu,hili la kuvamia redio nape alipaswa kuwa wa kwanza kumwita makonda kwanza na kuyaongea kisha angefika kwenye vyombo vya Habari
Ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia!!! Kipi kibaya alichokifanya Nape!!! Sometime Ukiwa Ccm Unakuwa kama chizi lolote lile utachekea tu.
 
Wewe ni mjinga..nchi hii is full of foolish people! unawaza uchaguzi ulishapita matokeo yakasomwa kiongozi akaapishwa akiwemo Nape wako huyo huyo..fikirieni mambo ya maana japo kwa saa moja mjiletee maendeleo.
 
Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.

Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.

Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.

Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Taarifa zikitoka ikulu kama ametumbuliwa tunaambiwa atatafutiwa kazi nyingine, mbona ya nape hiyo kauli hakuna? Inamaana nape kamwambia mtakatifu sitaki kufanya kazi na wewe.

Kwa hali hii nilishasema kumwombea inabidi uwe na mungu wa kishetani. Siwezi kupiga goti kumwombea huyu mtu. Labda aseme huyo mungu wake ni yupi
 
....
Ni **** na mpu.mba.vu tu anaweza anza kufikiria ya 2020..

....we cho.ko huwezi kufikiria ya 2020 kwa kuwa unawaza mwisho wa tumbo lako....wenzako tunawaza next millenium we 2020 unaona mbali! ndio maana mmebaki kudanganya umma na tamthilia zenu za hapa kazi tu na viwanda....hamuwezi kufikiria 2020 kwa kuwa mmejaa upofu na mnashiba sasa kwa dhulma yenu.....
 
Kikwete :wauza madawa wana nguvu wamo wanasiasa pia maaskofu nikiwataja nchi hii inatikisika
Magufuli :vita hii hakuna kuangalia brand wala Jina wala Sura
Makonda :tumeamua kuanza hii vita ni kama kumwagia mafuta kwenye shimo kila nyoka atatoa kichwa
MWISHO. JIONGEZENI
Wenye akili wajiongeze
 
Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.

Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.

Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.

Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kinana mbona ana nidhamu kwa mwenyekiti wake..ye anadhani jpm ni lowasa??sisi sio wanaccm ila kwa sasa tunaangalia maendeleo ya nchi..sio bashite..mara clouds.. Mara imerudi..hayo tulishayafanya kwenye utawala wa jk
 
....


....we cho.ko huwezi kufikiria ya 2020 kwa kuwa unawaza mwisho wa tumbo lako....wenzako tunawaza next millenium we 2020 unaona mbali! ndio maana mmebaki kudanganya umma na tamthilia zenu za hapa kazi tu na viwanda....hamuwezi kufikiria 2020 kwa kuwa mmejaa upofu na mnashiba sasa kwa dhulma yenu.....
Asee..kazi ipo
 
Kinana mbona ana nidhamu kwa mwenyekiti wake..ye anadhani jpm ni lowasa??sisi sio wanaccm ila kwa sasa tunaangalia maendeleo ya nchi..sio bashite..mara clouds.. Mara imerudi..hayo tulishayafanya kwenye utawala wa jk
Naongezea mara brand..
 
Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.

Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.

Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.

Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Tatizo anawaondoa kwa visasi watu wenye Lugha ya KUSHAWISHI.Nape anaondoka kwenye UWAZIRI SHUJAA aliyeweza kumpiga viboko vya nguvu MTAWALA na BASHITE wake.

Nawaza anajutia matusi na lile goli la mkono alilolitengeneza,litamla mpaka siku ya mwisho
 
Taarifa zikitoka ikulu kama ametumbuliwa tunaambiwa atatafutiwa kazi nyingine, mbona ya nape hiyo kauli hakuna? Inamaana nape kamwambia mtakatifu sitaki kufanya kazi na wewe.

Kwa hali hii nilishasema kumwombea inabidi uwe na mungu wa kishetani. Siwezi kupiga goti kumwombea huyu mtu. Labda aseme huyo mungu wake ni yupi
Mungu husikiliza maombi hata ya mtu mmoja tu mwenye haki na akaacha kusikiliza ya mamilioni wabinafsi ukiwemo wewe..uongozi si lazima ukufanye wewe unufaike, s lazima..kaombe laana itasikiwa.
 
Back
Top Bottom