Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Nikitoka, mtapataje mambo ya huku?
Mzee Tupatupa
Acha mbegu ya Nape ife lumumba na ikichipua kwingineko itasitawi na kuwa kivuli kizuuri kwa wengi
Nikitoka, mtapataje mambo ya huku?
Mzee Tupatupa
Acha mbegu ya Nape ife lumumba na ikichipua kwingineko itasitawi na kuwa kivuli kizuuri kwa wengi
Akili yako ndiyo imesambaratika ndio maana haiwez hata kufikiria na kukupa cha kuandika kwa faida yako..Mungu keshapokea maombi yetu wana ukawa. Sasa anatuonyesha keshaanza kuisambaratisa ccm iliyo kandamiza haki za watanzania kwa miaka mingi sana.Magu ni kama farao Bwana mungu sasa anamsmbaratisha.kuwa na roho ngumu .asishaurike hiyo yote kafanywa na mungu ili ccm isambaratikr.
amefanya vizuri ila bao la mkono itabidi alifute kuanzia sasawa bao la mkono
Unasema kama nani?Angalia kauli zako, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa ulimwengu..mtu aliyelelewa vyema anajua lugha na maneno ya kusema mbele za watu..haya uliyosema ni maneno ya chokoraa aliyekulia jalalani!
Mimi nafikiri Nape alishaikabidhi report toka jana, tena yawezeka kakabidhi kwa PM & VP tu, maana tayari alikuwa anajua msimamo wa raisi. Pia nafikiri toka jana Nape alikuwa anajua kuwa siku zake kama waziri zinafikia mwisho. Kama alishakabithi report lazima hatimaye itafanyiwa kazi. Anayejua kuwa report ilikuwa haijakabidhiwa kwa wakubwa za athibitishe tujua kuwa kazi yote iliyofanyika katika masaa 48 plus yaliyopita ilikuwa ni bure!Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.
Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.
Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.
Mwafaaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Tena sana... na nimefurahi hakutoka mwenyewe ingawaje alionesha dalili zote za kuchoka!! Akaamua kubaki ili atumbuliwe na hatimae kufanikiwa kuonesha sura halisi ya Mfalme!!!Mungu yupo pamoja nawe Nape maana umetumbuliwa kwa heshima uloyoifanya sio kwa aibu
Wewe si umezaliwa jana kazi kukopi na kupesti akili yako umeweka rehani wengine wakushikie..kasome historia ya kilichowapata kina kasanga tumbo, kambona, kaselabantu na wengine walipompinga unayemquote.
Angalia kauli zako, asiyefunzwa na mamaye hufunzwa ulimwengu..mtu aliyelelewa vyema anajua lugha na maneno ya kusema mbele za watu..haya uliyosema ni maneno ya chokoraa aliyekulia jalalani!
Ujumbe wa ripoti uliwafikia mapema tu.Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.
Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.
Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.
Mwafaaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hapa hakuna vita ya dawa za kulevya, bali kuna visa na visasi ingalikuwa ni vita ya dawa hizo kweli, bidhaa hizo sisingalikuwa sokoni hata sasa. Fanya utafiti kidogo tu, wahoji baadhi ya mateja,(chondechonde usije tumia akili za pombe, hakika watakumeaga ubongo.)utabaini kuwa bidhaa hizo zipo bwereree kuliko ilivyo kuwa hapo mwanzo.Kikwete :wauza madawa wana nguvu wamo wanasiasa pia maaskofu nikiwataja nchi hii inatikisika
Magufuli :vita hii hakuna kuangalia brand wala Jina wala Sura
Makonda :tumeamua kuanza hii vita ni kama kumwagia mafuta kwenye shimo kila nyoka atatoa kichwa
MWISHO. JIONGEZENI
Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.
Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.
Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.
Mwafaaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Nasema km ulimwengu ili kama hakuwepo wa kukuambia haya ungali mtoto uckie sasa ucje laumu hukuwa unajua.Unasema kama nani?
PoaNasema km ulimwengu ili kama hakuwepo wa kukuambia haya ungali mtoto uckie sasa ucje laumu hukuwa unajua.
...wezi na wanafiki wakuu nyie....oh viwanda...mara oh hapa kazi tu!!...mmewafanya watanzania mazuzu....mwisho wenu umeanza....matapeli nyie....Huo wizi alishindwa kukuambia Lowassa na Sumaye leo unautarajia kwa Nape..tumia akili yako vzr kijana.
Utaimba hayo hayo kila cku , wezi, wanafiki, mazuzu..mwisho wa safari workdone equals to ZERO!...wezi na wanafiki wakuu nyie....oh viwanda...mara oh hapa kazi tu!!...mmewafanya watanzania mazuzu....mwisho wenu umeanza....matapeli nyie....
Sifa za kijin.ga. uwaziri sio msemaje qa serikali. Hajasoma upepo. Wauza unga wameamua kupambana na serikali kupitia nape. Imekula kwaoKwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.
Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.
Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.
Mwafaaaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam