Travis samwel
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 215
- 42
nipo kweny mkutano wa CCM kiteto leo, lengo la ziara yao ni kukagua shughul za maendeleo bt matokeo yake muda wooote hatusikii hata watuambie wametekeleza nn katika ilani yao ya uchaguz, matokeo yake hapa ni mipasho tu na kuwaponda wapinzan na kusifia kuwa wana ofisi nzur kila kata katka Nchi hii!!!!!! Kumbe lengo la ccm ni kupinga UKAWA