Leo nimemsikia Nape Radio Safari MTWARA akiombwa kutoa maoni yake juu ya kauli ya LOWASSA KUWA serikali na CHAMA ...CCM... Wamekuwa waoga kuchukua maamuzi magumu.
Nape akaanza kwa kumshangaa LOWASSA na kuhoji " SIDHANI KAMA MHE. LOWASSA AMESAHAU KUWA HATA KUFUKUZWA KWAKE NA BUNGE ILIKUWA NI UAMUZI MGUMU SANA KWA CHAMA,SERIKALI NA RAIS AMBAYE ALIKUWA RAFIKI YAKE.?" Akaendelea KUSEMA " HIVI KUJIUZULU KAMATI KUU YOTE YA CCM HAUKUWA UAMUZI MGUMU?" " UJENZI WA UDOM AMBAYO HATA KWENYE ILANI HAIKUWEMO HAUKUWA UAMUZI MGUMU? Anahoji Nape.
Mytake.
Nape anajiamini NINI? KANIKUMBUSHA KAULI YA SOKOINE KWA MWL......." ukitukanwa na mtoto BASI ujue KATUMWA NA BABA YAKE.....
Nape akaanza kwa kumshangaa LOWASSA na kuhoji " SIDHANI KAMA MHE. LOWASSA AMESAHAU KUWA HATA KUFUKUZWA KWAKE NA BUNGE ILIKUWA NI UAMUZI MGUMU SANA KWA CHAMA,SERIKALI NA RAIS AMBAYE ALIKUWA RAFIKI YAKE.?" Akaendelea KUSEMA " HIVI KUJIUZULU KAMATI KUU YOTE YA CCM HAUKUWA UAMUZI MGUMU?" " UJENZI WA UDOM AMBAYO HATA KWENYE ILANI HAIKUWEMO HAUKUWA UAMUZI MGUMU? Anahoji Nape.
Mytake.
Nape anajiamini NINI? KANIKUMBUSHA KAULI YA SOKOINE KWA MWL......." ukitukanwa na mtoto BASI ujue KATUMWA NA BABA YAKE.....