Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
We jamaa umesoma wapi au umesikia wapi watu tuko arusha hapa hakuna kesi kama hiyo hapa mahakamani unajua inaelekea we ccm jihadhari sana watu wanahasira utapotea bure
Bdo uko UoA? Mwana UoA hapo nshafunddisha wasabato wenzangu wakanitenga