Dalili ya mvua ni mawingu, Wakili la Lema leo amepata pigo baada ya tuhuma dhidi ya Nape alizoziibua kuwa Nape ametangaza ushindi kabla ya hukumu imetupiliwa mbali na Jaji anayesikiliza kesi hiyo mara baada ya mhariri wa Nipashe kukiri kosa kuwa walimnukuu Nape vibaya na hivyo kutakiwa kumwomba Nape msamaha!
kesi hiyo dhidi ya Lema ambayo ni kesi ya msingi itaendelea
kesi hiyo dhidi ya Lema ambayo ni kesi ya msingi itaendelea